Jiji la Mwanza halina taa za barabarani

Jiji la Mwanza halina taa za barabarani

nizakale

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2019
Posts
4,033
Reaction score
2,949
Inasikitisha kuona kwamba Mwanza jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania halina taa za barabarani mitaa yote, katikati ya Jiji ni giza tupu, barabara zote kuu tatu za kutoka na kuingia Jijini (Nyerere, Kenyatta na ile iendayo uwanja wa ndege) zote ni giza tupu.

Inafikia mtu unajiuliza hivi uongozi wa Jiji hili na ule wa Manspaa ya Ilemela unakwama wapi? Mbona miji midogo kama Geita na Kahama kwa sasa zina taa za barabarani?

Kwa kweli ni aibu kwa Jiji kama hili kukosa taa hizi hata maeneo nyeti kama stendi kuu ya mabasi Nyegezi n.k. Nadhani wakati umefika sasa wa viongozi wa mkoa, jiji na Manspaa ya Ilemela kuondoa kero hii.
 
Nilicheka sanaa kusikiliz sera za mabula igoma hapo anasema tukimpa kura atawasha taa za barabaran kwa kuziunganisha na solar,kwel nlimshangaa sanaa kwan amekaa miaka mitano hakuweza kufanya ivo ila ss iv anaomba ridhaa kuziwasha,kwel wabunge wa ccm n mzigo
 
Nlicheka sanaa kusikiliz sera za mabula igoma hapo anasema tukimpa kura atawasha taa za barabaran kwa kuziunganisha na solar,kwel nlimshangaa sanaa kwan amekaa miaka mitano hakuweza kufanya ivo ila ss iv anaomba ridhaa kuziwasha,kwel wabunge wa ccm n mzigo
Ndugu yangu huu ndio mji pekee katika Tanzania wenye giza totolo, huwezi amini madiwani wabunge na viongozi wengine wa mkoa sijui hawalioni hili, ni ajabu sana.
 
Kwa sasa viongozi wetu wapo kwenye kipindi cha uchaguzi. Tuvumilie tu.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Acheni propaganda zilizokufa wakuu, barabara ya kutoka sabasaba kwenda hadi Buswelu ni ya lami na inawaka taa mwanzo mwisho, barabara ya kutokea Pasiansi kwenda hadi Nyakato Buzuruga kupitia Kiloleli Nyasaka maduka 9, Nyasaka center kote huko taa zinawaka, barabara yote kutokea mjini kati kuelekea Igoma taa zinawaka, sasa wewe mleta unaongelea Mwanza ya wapi
 
Acheni propaganda zilizokufa wakuu, barabara ya kutoka sabasaba kwenda hadi Buswelu ni ya lami na inawaka taa mwanzo mwisho, barabara ya kutokea Pasiansi kwenda hadi Nyakato Buzuruga kupitia Kiloleli Nyasaka maduka 9, Nyasaka center kote huko taa zinawaka, barabara yote kutokea mjini kati kuelekea Igoma taa zinawaka, sasa wewe mleta unaongelea Mwanza ya wapi
Wewe usidanganye watu. Barabara ya Kutoka mjini kwenda Igoma ni giza tupu. Aidha katikati ya Jiji ni giza totolo, wewe unakaa Mwanza ipi ? Kawadanganye wasioijua Mwanza.
 
Nani kakuambia kama sina gari ? Hiyo mitaa niliyoitaja kote huko napita na gari hakuna taa.
Mbona taa zipo mkuu ..ndio uache kutembea usiku au ununue gari au tochi ikusaidie kumulika unako enda
 
Acheni propaganda zilizokufa wakuu, barabara ya kutoka sabasaba kwenda hadi Buswelu ni ya lami na inawaka taa mwanzo mwisho, barabara ya kutokea Pasiansi kwenda hadi Nyakato Buzuruga kupitia Kiloleli Nyasaka maduka 9, Nyasaka center kote huko taa zinawaka, barabara yote kutokea mjini kati kuelekea Igoma taa zinawaka, sasa wewe mleta unaongelea Mwanza ya wapi
Kutoka Pepsi mpaka Buhongwa ni Giza totoro
 
Acheni propaganda zilizokufa wakuu, barabara ya kutoka sabasaba kwenda hadi Buswelu ni ya lami na inawaka taa mwanzo mwisho, barabara ya kutokea Pasiansi kwenda hadi Nyakato Buzuruga kupitia Kiloleli Nyasaka maduka 9, Nyasaka center kote huko taa zinawaka, barabara yote kutokea mjini kati kuelekea Igoma taa zinawaka, sasa wewe mleta unaongelea Mwanza ya wapi
Si kweli
 
Inasikitisha kuona kwamba Mwanza jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania halina taa za barabarani mitaa yote, katikati ya Jiji ni giza tupu, barabara zote kuu tatu za kutoka na kuingia Jijini (Nyerere, Kenyatta na ile iendayo uwanja wa ndege) zote ni giza tupu.

Inafikia mtu unajiuliza hivi uongozi wa Jiji hili na ule wa Manspaa ya Ilemela unakwama wapi? Mbona miji midogo kama Geita na Kahama kwa sasa sina taa za barabarani?

Kwa kweli ni aibu kwa Jiji kama hili kukosa taa hizi hata maeneo nyeti kama stendi kuu ya mabasi Nyegezi n.k. Nadhani wakati umefika sasa wa viongozi wa mkoa, jiji na Manspaa ya Ilemela kuondoa kero hii.
'Akili' za Wakazi na Watendaji wa Mji huo nazo zina 'Taa' Mkuu?
 
Tupo busy na kununua ndege, hizo taa haziingizi pesa silikarini.
 
Inasikitisha kuona kwamba Mwanza jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania halina taa za barabarani mitaa yote, katikati ya Jiji ni giza tupu, barabara zote kuu tatu za kutoka na kuingia Jijini (Nyerere, Kenyatta na ile iendayo uwanja wa ndege) zote ni giza tupu.

Inafikia mtu unajiuliza hivi uongozi wa Jiji hili na ule wa Manspaa ya Ilemela unakwama wapi? Mbona miji midogo kama Geita na Kahama kwa sasa sina taa za barabarani?

Kwa kweli ni aibu kwa Jiji kama hili kukosa taa hizi hata maeneo nyeti kama stendi kuu ya mabasi Nyegezi n.k. Nadhani wakati umefika sasa wa viongozi wa mkoa, jiji na Manspaa ya Ilemela kuondoa kero hii.
Suluhisho ni Serikali za majimbo. Haya maRC, DED, DC ya kuletewa ni praise team zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom