Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,114
- Thread starter
- #21
Kigoma haitakuwa hivyo mpaka waje viongozi wanaopenda Walala hoi na hiyo HaitawezekanaLabda tumrudishe muingereza au Mzungu yoyote anayependa maendeleo lakini sisi Waafrika Ndivyo tulivyo......... Mambumbumbu tu hatuna akili ya uongozi hata kidogo.........nasikia Kigoma itakuwa hivi kabla ya 2015.