Jiji la dubai wakati wa usiku

Itabidi tuende kwa Babu wa Lolilondo aombe dua ili viongozi wetu wawe na imani ya kutupatia umeme na matatizo ya umeme wa mgao yaishe tena tehteheteheteh

hahahahah duuhh
wazani kikombe cha babu kitasaidia
kweli tatizo la umeme?
ni aibu kwa kweli tuna vyanzo
vingi vya kuanzisha umeme ...
umeme ulitakiwa usiwe shida kabisa TZ...

Anyway napenda kuamani kila kibaya
kama kilivyo kizuri kina mwisho wake ..
sante..
 
Dubai bana. Si mchezo. Tatizo letu TZ ufisadi umefurutu ada, hatufiki popote mpaka kiama kifike. Lol.
 
hahahahah duuhh
wazani kikombe cha babu kitasaidia
kweli tatizo la umeme?
ni aibu kwa kweli tuna vyanzo
vingi vya kuanzisha umeme ...
umeme ulitakiwa usiwe shida kabisa TZ...

Anyway napenda kuamani kila kibaya
kama kilivyo kizuri kina mwisho wake ..
sante..
Pamoja na kile kikombe cha Babu wa Lolilondo kuwa ni kidogo, lakini ningelikuwa mimi ndio Babu wa Lolilondo kila kiongozi anaye kuja kwangu ningeli muombea Dua awe na Mapenzi na huruma juu ya Raia wake anaoishi nao na ingelifika kwa Muhusika Muheshimiwa

Waziri anayeshughulikia masuala ya umeme hapo nyumbani nae pia kuombea Dua na Babu ili awe na imani na huruma na Mapenzi juu ya wananchi wake kwa jinsi wanavyoteseka na matatizo ya umeme ningemuombea dua huyo Muheshimiwa Waziri anayeshughulikia Masuala ya umeme, ili amalize tatizo hili la umeme wa mgao hapo kwetu Tanzania, hususan katika jiji la Dares-salaam.
 
DUbai mbona mjukuu...nenda Tokyo ndiyo utajua bongo ni city ya karne ya ngapi
 

ejgno9mi8q8b.bmp





g01q6gzlf519.bmp




o5hb4990ckwf.bmp




9qdqreurqqkm.bmp



c2qa0zhdkqyn.bmp




95jgyh83hf1w.bmp



zw1c14j7ti34.bmp



nuv4zqc2r8fu.bmp




gl5okgvlbgt4.bmp




mrhpy3rq14l6.bmp



ny3x8riof1cj.bmp
MUSCAT AIRPORT MPYA. JE AIPORT YA DARES-SALAAM IKOJE????????
 
Utasikia wanasiasa wetu wasinziaji wakubwa bungeni wanasema, "Tanzania imepiga hatua kubwa za maendeleo, lakini wapinzani wanabeza..." Sasa hawa wenzetu wa Dubai wenyewe wataseamje kwa hatua waliopiga?
 
Dubai usiku kunawakawaka but still kimji kidogooo,
<br />
<br />
Kweli mkuu,tatizo lililopo nchi yetu kubwa mno mikoa 31 wilaya 100 na kitu,watu milioni 40 na ushee,makabila 120 na ushee,ndio maana kuna sehemu akufikiki tangu tupate huru takriban miaka 50,sehemu kama mtwara tungewaachia msumbiji,ruvuma tungewaachia malawi,kigoma tungewaachia burundi,mbeya tungewaachia zambia,mara tungewaachia kenya,kagera tungewaachia uganda nadhani tungekabiliana na changamoto zilizopo
 
pic09741mk5.jpg


Mi nimependa hiyo bara bara mazee five lane unategemea foleni itoke wapi? Kwa nin tusiwapeleke magamba wakasafishe macho huenda wakirudi watakuwa na akili nzuri?
 
Kweli mkuu,tatizo lililopo nchi yetu kubwa mno mikoa 31 wilaya 100 na kitu,watu milioni 40 na ushee,makabila 120 na ushee,ndio maana kuna sehemu akufikiki tangu tupate huru takriban miaka 50,sehemu kama mtwara tungewaachia msumbiji,ruvuma tungewaachia malawi,kigoma tungewaachia burundi,mbeya tungewaachia zambia,mara tungewaachia kenya,kagera tungewaachia uganda nadhani tungekabiliana na changamoto zilizopo

Una utani mbaya wewe.
 
pic09741mk5.jpg


Mi nimependa hiyo bara bara mazee five lane unategemea foleni itoke wapi? Kwa nin tusiwapeleke magamba wakasafishe macho huenda wakirudi watakuwa na akili nzuri?

Na zaidi ya hapo hata picha hii inaonekana imepigwa kutoka kwenye gari iliyokuwa kwenye barabara ya juu. jamaa kweli noma
 
Back
Top Bottom