Jifunze TENSES hapa

Hapo mko wawili, ni wengi tayari, are ndiyo sahihi.

My mother and I are going to the church.

Hutakiwi kuongeza neno we. We ni kiwakilishi, so kama usingetaja nani na nani ndo we inatumika.
Kwenye lugha me sijui kabisa,hapo mkuu "my mother and I are going to the church"
Hiyo "my"umeitoa wapi maana kwenye sentensi ya jamaa juu hapo sijaiona..

Nisahihishe mkuu
 
Kaka/dada una gubu hatari. Bado uko na mambo ya mwaka juzi?

Hamna, niligundua kumbe ile suluhu uliifanya kinafki. Nikakuta huku kumbe uliongea shombo. Sasa kama nilivyokwambia awali, ukifanya ushenzi tu nageuka mshenzi na ukiw amuungwana nageuka kuwa muungwana. Hata sasa, lete point tunajadili, ukilete ujuaji na mimi mlemle.
 
Kaka/dada una gubu hatari. Bado uko na mambo ya mwaka juzi?

Hamna, niligundua kumbe ile suluhu uliifanya kinafki. Nikakuta huku kumbe uliongea shombo. Sasa kama nilivyokwambia awali, ukifanya ushenzi tu nageuka mshenzi na ukiw amuungwana nageuka kuwa muungwana. Hata sasa, lete point tunajadili, ukilete ujuaji na mimi mlemle.
 
Tuweke jambo sawa kidogo hapa. Katika sarufi (grammar) wakati (time) si sawa na njeo (tense). Wakati (time) ndiyo hugawanyika mara tatu, yani, uliopita, uliopo na ujao lakini njeo (tense) ni lile umbo la kitenzi(verb) ambalo hujidhihirisha kwa namna mbili kuu, umbo linaloonesha wakati wa sasa na lile la wakati uliopita.Tukichambua maumbo haya kwa kila muktadha, yani , uliopo ama uliopita, tutapata maumbo tofautitofauti kadiri mzungumzaji anavyotaka kuwasiliana. Hivyo, neno TALK linaweza kuwa talked, talking ,talk(s) n.k.

Kumbuka hali ya kitenzi kuwa katika wakati uliopita ama wa sasa haina uhusiano wa moja kwa moja na wakati(TIME).Tazama mifano ifuatayo:

If I were a woman, I could bear children.(Je, unadhani huu ni wakati gani, uliopita ama wa sasa? Je, hizo tense ni wakati gani, were/could?) Tazama mfano unaofuata:

Could you give me a pen? (Unadhani huu ni wakati gani, tensi gani?, Je nikikwambia hivi maana yake ninakwambia jambo lililopita? Hapana hii ni sasa, present lakini kitenzi cha wakati uliopita.

Kwa kifupi, katika mifano yote hiyo hapo juu vitenzi vinaonesha wakati uliopita lakini lakini wakati ni wa sasa hivi.

Kwa minaajili hii, Kiingereza hakina umbo maalumu kuashiria future tense. Wengine husema hakina future tense, bali kina wakati ujao tu. Waingereza wao hutumia tense mbalimbali kueleza masuala ya wakati ujao. Tazama mifano michache hapa chini:

1. I am going to marry her next week.(going to)
2.I will go to school on Saturday.(will)
3.Exams start this weekend.(present tense)
4. I am about to finish my studies.(about to)
5. I am visiting my mum this evening.(present continuous)

Mifano hii inathibitisha kuwa hakuna umbo maalumu kudhihirisha future tense katika English. Na hii inathibitisha tense si sawa na time(wakati), kwani utaona hapo present tense imetumika kuelezea masuala ya wakati ujao na kule mwanzoni tuliona maumbo ya wakati uliopita yametumika kueleza matukio ya present time.

Mkanganyiko huu unatusumbua sana sisi ambao tunajifunza Kiingereza kama lugha ya pili. Na ukisoma kw akuchambua kama hivi, ndiyo unachanganyikiwa kabisa. Usomaji mzuri ni ule wa kupewa muktadha(context) , kisha unapewa kanuni indirectly na kuoanisha na muktadha uliopewa. Kwa mfano, unataka kujifunza wakati ujao, utapewa kisa cha Jolita anataka kuoa mwakani. Utawasikiliza kisha utaona miundo wanayotumia na wewe kuweza kuiga huku mwalimu akisiriba kwa kanuni.

Ninawasilisha
Umeelezea vizuri sana,safi
 
Dah English inakera ila nadhani ni kwa kuwa ni Common Phrase ndio mana tunatumia at night,At sunset,..

Tunaona in the evening, In the morning...zote huashiria muda lakini imegoma hapo kwenye night....

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mtu kafafanua kwamba night is considered as block of time, no movement.

Na akaweka cases kwamba kama morning iko ingaged na schedule, at inatumika.

Mfano: At morning prayers.

Mfano: At noon, at sunset, ziko as good as block (no movement).

In the night kuna jinsi iko agreeable hasa ikiwa inaashiria activities zitakuwa ongoing.

Mfano, the celebrations will be done in the night.
 
Hamna, niligundua kumbe ile suluhu uliifanya kinafki. Nikakuta huku kumbe uliongea shombo. Sasa kama nilivyokwambia awali, ukifanya ushenzi tu nageuka mshenzi na ukiw amuungwana nageuka kuwa muungwana. Hata sasa, lete point tunajadili, ukilete ujuaji na mimi mlemle.
Sina nia ya kuingilia..Ila huyu Khantwe hajawahi kuwa mjuaji aisee na ni mstaarabu sana sijawahi ona....Tuacheni kutupiana maneno hatutajenga tutabomoa hata hii spirit tuliyonayo..
Mkuu hata wewe una hoja Nzuri sana ambazo tunazihitaji..Let's stay positive ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye lugha me sijui kabisa,hapo mkuu "my mother and I are going to the church"
Hiyo "my"umeitoa wapi maana kwenye sentensi ya jamaa juu hapo sijaiona..

Nisahihishe mkuu

My mother, mother, mom.

Mom and I are...

Mother and I are ... (Hapa nimeona kama mother ina hang, haielezei ni mama mzazi au la)

So kuweka My Mother, ni mama yangu.

Ambapo ni sawa na mtu akiandika Mom ni mama yangu.
 
Sina nia ya kuingilia..Ila huyu Khantwe hajawahi kuwa mjuaji aisee na ni mstaarabu sana sijawahi ona....Tuacheni kutupiana maneno hatutajenga tutabomoa hata hii spirit tuliyonayo..
Mkuu hata wewe una hoja Nzuri sana ambazo tunazihitaji..Let's stay positive ...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii thread unaweza mtu ukaichukulia ki-wack ila mimi binafsi kuna vitu vichache ambavyo mpaka hapa nimetoka navyo.

Sijui kama ntakuwa na spirit hii, lakini I have added some few things kiukweli.

I also would advise people to join Quora. It is full of professional discussions.
 
Sina nia ya kuingilia..Ila huyu Khantwe hajawahi kuwa mjuaji aisee na ni mstaarabu sana sijawahi ona....Tuacheni kutupiana maneno hatutajenga tutabomoa hata hii spirit tuliyonayo..
Mkuu hata wewe una hoja Nzuri sana ambazo tunazihitaji..Let's stay positive ...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sidhani kama umefuatilia kisa hiki. Huyu ni binadamu, kama mimi na wewe. Anaweza kukosea pia. Na katika hili natambua kuwa ninakwenda kinyume na tamaduni zetu funika kombe mwanaharamu apite kumbe bado unakuwa na visasi.Hili ndiyo nalipinga hapa. Huyu alianza yeye, akaigiza yamekwisha, huku kumbe bado anakuja kutoa kauli zisizo.Why?
 
Hamna, niligundua kumbe ile suluhu uliifanya kinafki. Nikakuta huku kumbe uliongea shombo. Sasa kama nilivyokwambia awali, ukifanya ushenzi tu nageuka mshenzi na ukiw amuungwana nageuka kuwa muungwana. Hata sasa, lete point tunajadili, ukilete ujuaji na mimi mlemle.
Mkuu hakuna shombo, kusema jambo la kipuuzi ndio shombo? Kwani ni uongo kwamba yale maneno tuliyokuwa tunarushiana yalikuwa ya kipuuzi? Au mwenzangu uliona yana mchango wowote kwenye hii thread?
 
Sidhani kama umefuatilia kisa hiki. Huyu ni binadamu, kama mimi na wewe. Anaweza kukosea pia. Na katika hili natambua kuwa ninakwenda kinyume na tamaduni zetu funika kombe mwanaharamu apite kumbe bado unakuwa na visasi.Hili ndiyo nalipinga hapa. Huyu alianza yeye, akaigiza yamekwisha, huku kumbe bado anakuja kutoa kauli zisizo.Why?
Sijawahi kuwa na kisasi na mtu ndio niwe na kisasi na mtu aliyeko nyuma ya keyboard? Ndio maana nimesema una gubu wewe binadamu khaa kila kitu unatachukulia personal
 
Mkuu hakuna shombo, kusema jambo la kipuuzi ndio shombo? Kwani ni uongo kwamba yale maneno tuliyokuwa tunarushiana yalikuwa ya kipuuzi? Au mwenzangu uliona yana mchango wowote kwenye hii thread?

Hivi unadhani unachozungumza au kifikiri ni lazima tufikiri pamoja? Wewe uliandika ukiwa unajua unachomaanisha kichwani, je, mimi ninaepokea? Wakati huohuo ni wewe tumetoka kutoleana maneno yasiyo mazuri hapohapo utakuja na kauli hii nikuelewe utakavyo? Ninadhani kuna shida ya kuutumia muktadha ipasavyo.
 
Sijawahi kuwa na kisasi na mtu ndio niwe na kisasi na mtu aliyeko nyuma ya keyboard? Ndio maana nimesema una gubu wewe binadamu khaa kila kitu unatachukulia personal
Jamani thread hii isiwe ya vurugu watu wanataka kujifunza vitu ila nashangaa sahizi imejaa Vita,Tujiheshim wakuu other we need to learn english in peace not you two

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuwa na kisasi na mtu ndio niwe na kisasi na mtu aliyeko nyuma ya keyboard? Ndio maana nimesema una gubu wewe binadamu khaa kila kitu unatachukulia personal

Si kweli. ni vile wewe hujioni, na unahisi upo sahihi hasa kikauli na unaona kuwa upande wa pili ndiyo shida. Mfano, hapa unadai nina gubu, umejiuliza tumefikaje hapa? Nisingependa kurudia vijineno vyako vyote vya kejeli, lakini ndicho kinachotufikisha hapa.
 
Back
Top Bottom