Jifunze kupika kitimoto na mboga za majani

Jifunze kupika kitimoto na mboga za majani

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,462
Reaction score
65,770
Tulia hapa nikuelekeze jinsi ya kupika kitimoto kizuri cha geto na ugali

Kwanza tafuta chainizi au mchicha ukate kama hivi nilivyo kata mimi
1773678365517.png

Kisha anza kukaanga kitimoto chako usiwek mafuta na baada ya hpo weka zako vitunguu kaanga mpaka vilainike na uwke karoti na nyanya usiweke hoho kwasababu kuna mboga za majani hoho sio muhimu hapa
1773678470013.png

Nyanya yako ikiiva weka mboga za majani mm napenda mboga za majani zisiive sana ndio maana naweka mwishoni
1773678533791.jpeg

Kama hivyo kisha changanya vizuri pole pole baada ya dakika chache nikazima jiko baada ya kuona mboga yangu imeiva nilivyo taka
1773678685441.png

Baada ya hapo nikasonga ugali vizuri nika kata na utamaduni wetu swafiiii
1773678744835.jpeg

Baada ya hpo nilisahau juice yangu aseee ila nimeshiba ile mbaya karibuni iki chakula
Ni cha hamu
1773678797637.jpeg
 
Tulia hapa nikuelekeze jinsi ya kupika kitimoto kizuri cha geto na ugali

Kwanza tafuta chainizi au mchicha ukate kama hivi nilivyo kata mimi
View attachment 3558734
Kisha anza kukaanga kitimoto chako usiwek mafuta na baada ya hpo weka zako vitunguu kaanga mpaka vilainike na uwke karoti na nyanya usiweke hoho kwasababu kuna mboga za majani hoho sio muhimu hapa
View attachment 3558735
Nyanya yako ikiiva weka mboga za majani mm napenda mboga za majani zisiive sana ndio maana naweka mwishoni
View attachment 3558736
Kama hivyo kisha changanya vizuri pole pole baada ya dakika chache nikazima jiko baada ya kuona mboga yangu imeiva nilivyo taka
View attachment 3558738
Baada ya hapo nikasonga ugali vizuri nika kata na utamaduni wetu swafiiii
View attachment 3558739
Baada ya hpo nilisahau juice yangu aseee ila nimeshiba ile mbaya karibuni iki chakula
Ni cha hamu
View attachment 3558740
Hii ni nyama Gani kwanza🤣🤣 ili nijue naanzia wapi
 
Tulia hapa nikuelekeze jinsi ya kupika kitimoto kizuri cha geto na ugali

Kwanza tafuta chainizi au mchicha ukate kama hivi nilivyo kata mimi
View attachment 3558734
Kisha anza kukaanga kitimoto chako usiwek mafuta na baada ya hpo weka zako vitunguu kaanga mpaka vilainike na uwke karoti na nyanya usiweke hoho kwasababu kuna mboga za majani hoho sio muhimu hapa
View attachment 3558735
Nyanya yako ikiiva weka mboga za majani mm napenda mboga za majani zisiive sana ndio maana naweka mwishoni
View attachment 3558736
Kama hivyo kisha changanya vizuri pole pole baada ya dakika chache nikazima jiko baada ya kuona mboga yangu imeiva nilivyo taka
View attachment 3558738
Baada ya hapo nikasonga ugali vizuri nika kata na utamaduni wetu swafiiii
View attachment 3558739
Baada ya hpo nilisahau juice yangu aseee ila nimeshiba ile mbaya karibuni iki chakula
Ni cha hamu
View attachment 3558740
Kuna nyama nyingine halafu kuna kitimoto
Aisee utamu wa kitimoto inabidi uchunguzwe na FBI, hii nyama itaniua walahi 😋😋
 
Aisee hadi mate yamenitoka hapa 😋.

Yaani kesho natapika halafu naenda kukaa chini ya mti uliokaribu na msikiti wa hapa jirani ilikusudi niwarushe tu roho wale wanaokwenda kuswali.

Mbona watafungua bila kupenda?!


Ndugu yangu katika imani Monetary doctor njoo tuone msosi mtamu.

Mbaga Jr.
Utanenepa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom