Jibu kwa The Boss (Nyumba ndogo)

B' hebu wasome hapa chini hawa... Ni wanaume wenzio by the way...
Hahahaha..........shem bana. Kwa mfano hako Ka Finest nako unakaamini? Ningekuwa sikafahamu ningeweza kuamini akisemacho........... wizi mtupu!
 
Punguza ukali kidogo basi........... Ila ukweli ni kuwa Nyumba ndogo haziepukiki! Take it from me!
OH, samahani Aspirin, sikusema kwa ubaya, nilitaka tu kudraw attention yako hapo.
Mi naamini swali hili linahepukika, mbona kuna wanaume wengi hawana nyumba ndogo na wako happy? watu wanasema ukipatam atatizo na nyumba kubwa ndio unaenda kwa nyumba ndogo. HIyo ni solution au unareplicate situation A into a situation B? vikiharibika huko unaenda C? coz kuna siku Boss alishauri hivo...
Nadhani kama mambo yakiharibika kwa nyumba kubwa solution ni kujaribu kutatua hapo hapo, sio kwenda nje.
 
Well kwa ambao hawakuwepo kipindi kile hizi Sheria ni kwa hisani ya Carina TI sasa hapa zile za Boss watu wanaozilalamikia ni cha mtoto


On a serious note: PA Acha mzaha you are rattling us ladies... Na mnajua we CONTROL everything usije kuta umewekewa sumu kwenye lunch leo

Hahahaha..........shem bana. Kwa mfano hako Ka Finest nako unakaamini? Ningekuwa sikafahamu ningeweza kuamini akisemacho........... wizi mtupu!


Shem I hope sio wee OR Sweetie mmemtuma alete hio KATIBA Hapa! (kanifanya niruke post nisijibu... ngoja nikaijibu sasa.. Khaa!)
 
On a serious note: PA Acha mzaha you are rattling us ladies... Na mnajua we CONTROL everything usije kuta umewekewa sumu kwenye lunch leo
Kaizer huwa mchangiaji mzuri sana sasa sielewi kwanini kwenye hii thread simuoni lol



Shem I hope sio wee OR Sweetie mmemtuma alete hio KATIBA Hapa! (kanifanya niruke post nisijibu... ngoja nikaijibu sasa.. Khaa!)
Kaizer huwa mchangiaji mzuri sana sasa sielewi kwanini kwenye hii thread simuoni lol
 
OH, samahani Aspirin, sikusema kwa ubaya, nilitaka tu kudraw attention yako hapo.
Mi naamini swali hili linahepukika, mbona kuna wanaume wengi hawana nyumba ndogo na wako happy? watu wanasema ukipatam atatizo na nyumba kubwa ndio unaenda kwa nyumba ndogo. HIyo ni solution au unareplicate situation A into a situation B? vikiharibika huko unaenda C? coz kuna siku Boss alishauri hivo...
Nadhani kama mambo yakiharibika kwa nyumba kubwa solution ni kujaribu kutatua hapo hapo, sio kwenda nje.
RR my dear....... hata wanawake woooooote wa JF ukiwauliza kama ni nyumba ndogo za watu au wamewahi kucheat au wana vidumu vyao.........woooooooote watakataa.... Na hao wanaume wanaojishebedua hapa....amini amini nakuambia Laiti kuta zingekuwa zinasema!

Mi ni mwanaume nna marafiki lukuki...........naweza kukuapia karibia wote ukiwauliza na wakaamua kuwa frank watakuambia wameshawahi kucheat na wanachea na wataendelea kucheat.......... Nyumba ndogo sawa zaweza kuepukika lakini kucheat hakuepukiki....take it from me!
 
Mimi ndio maana philosophy yangu ni ku fight by all means. Watu wanapinga hii philosophy wakisema eti si akili.

Lakini nadhani ni akili kuliko kuwa kimada au kuwa na kimada

Sioni noma ku act like crazy when it comes to my husband. Na kuna waliokwisha onja joto ya jiwe.
 
Unajua dada......... Necha can neither be created nor destroyed........ Kuna mambo ya zamani ambayo tunweza kuyaacha lakini necha remains constant..........
Mwanaume alikuwa kiongozi wa familia...........ataendelea kuwa kiongozi no matter what
Mwanaume alikuwa na wanawake wengi.......... ataendelea kuwa na wanawake wengi.....no matter what
Mwanamke kuolewa na mme mmoja..........Atabaki kuolewa na mme mmoja (labda achakachue kwa wizi) Lakini hawezi kuwajibika kwa wanaume wawili kwa ridhaa yao...NO WAY!

Lakini haya ya kukaa uchi sijui.......... aaaaaa hayo yanaendana na wakati bana
Msidanganye watu hapa!
Aspirin, leo niko na wewe...
Sio kweli kwamba mambo lazima yaendelee kua the way yalikua kila siku. Kwanza mwanaume kua na wake wengi sio kawaida ya "kila siku". hata mwanzo kuna wanaume wengi walikua na mke mmoja tu. Tusichukulie mfano wa wayahudi na waarabu kua mfano wetu. Tuna historia yetu sisi kama waafrika. Babu yangu alikua na mke mmoja, baba yangu mke mmoja na mimi mwenyewe nina mume wangu ambae hana mke mngine.
Tukirudi kwa "nyumba ndogo" ambayo ni more ya kujiibia, kama unasema ni kitu kipo na kitaendelea kuwepo, mbona kuna wanaume wameshinda hiyo tabia, na ni wengi sana? Hao wanakua sio wanaume? kwa mtazamo wangu hao ndio wanaume wa kweli, sio hawa wasio kuna na msimamo na hawaheshimu ahadi yao waliotoa mbele ya ndugu, familia, serikali na Mungu.
 
Nimezungumzia Ukimwi sababu ni tatizo ambalo ni zao saana la hii issue ya kutoka nje... but naomba niseme kua sina maana ndo sabbu yenyewe ya msingi... Unajua JG.. Knowing kwamba hiki kitu ni kibaya sio sababu tosha kua watu ndio hawatafanya... Insikitisha but ndo Ukweli... Kikuibwa labda tujiulize kua nje ya nature kwanini ikue kwa kasi hadi kwa wale wanaume wanaopenda wake zao??

Atleast ikijengwa kuwa ni "BAD TABOO" na kueleweka hivyo, kila mtu atafanya kwa uoga huku nafsi ikimkana na atakuwa anapambana kuacha!
Ila hii tu kuiita eti ni "nature" hahahaha yaani ni uhalalisho wa haki kabisa....
Hapana nyumba ndogo si nature wajemeni... inakua sababu zake ni nyingi sana primarily WANAWAKE wa kisasa mnabeba sana lawama na harakati zenu hizi za "haki sawa"
Binafsi nina mfano wa familia yangu, jamaa inaaminika kwa 98% hana nyumba ndogo na haikumbukwi kama kabla ya kuoa kama alikuwa na mahusiano.... Na ameoa mke mkorofi na jamaa ni anaepesa atiii ila wala hamna cha nyumba ndogo... ni yeye mungu wake na familia yake!
 
RR my dear....... hata wanawake woooooote wa JF ukiwauliza kama ni nyumba ndogo za watu au wamewahi kucheat au wana vidumu vyao.........woooooooote watakataa.... Na hao wanaume wanaojishebedua hapa....amini amini nakuambia Laiti kuta zingekuwa zinasema!

Mi ni mwanaume nna marafiki lukuki...........naweza kukuapia karibia wote ukiwauliza na wakaamua kuwa frank watakuambia wameshawahi kucheat na wanachea na wataendelea kucheat.......... Nyumba ndogo sawa zaweza kuepukika lakini kucheat hakuepukiki....take it from me!
Kama kweli unaamini hivo basi nakuonea huruma sana. Amini usiamini kuna wanaume ambao HAWATEMBEI NJE YA NDOA, mwanzo mwisho. na kama unataka kua mmoja wao kuanzia leo basi anza kwa kukubali kama inawezekana. so long as utadhani ni story telling tu, utaona upuuzi kujaribu.
Na hii ndio maana hasa ya thread hii: mbona watu wanachukulia kucheat as something unavoidable? kama vile hata ujaribu vipi hauta weza? na wanaenda mbali katika hilo, not only hauwezi kujiziwia, ila unatakiwa kupanga cheating yako kwa busara ili ufaidi dhambi yako...
 
Aspirin, leo niko na wewe...
Sio kweli kwamba mambo lazima yaendelee kua the way yalikua kila siku. Kwanza mwanaume kua na wake wengi sio kawaida ya "kila siku". hata mwanzo kuna wanaume wengi walikua na mke mmoja tu. Tusichukulie mfano wa wayahudi na waarabu kua mfano wetu. Tuna historia yetu sisi kama waafrika. Babu yangu alikua na mke mmoja, baba yangu mke mmoja na mimi mwenyewe nina mume wangu ambae hana mke mngine.
Tukirudi kwa "nyumba ndogo" ambayo ni more ya kujiibia, kama unasema ni kitu kipo na kitaendelea kuwepo, mbona kuna wanaume wameshinda hiyo tabia, na ni wengi sana? Hao wanakua sio wanaume? kwa mtazamo wangu hao ndio wanaume wa kweli, sio hawa wasio kuna na msimamo na hawaheshimu ahadi yao waliotoa mbele ya ndugu, familia, serikali na Mungu.
Ukiona mwanaume hana nyumba ndogo basi ujue huyo ni mtaalam wa ku HIT and RUN.

Ni mie hapa nimebakia kwa ajili ya kuwapeni habari!...........Hapa nnakabiliwa na kile alichosema Yesu "Nabii hakubaliki nyumbani kwao"
 
Zinaepukika tena sana kabisa, take it from me!

Hivi nyie na mwenyekiti wenu mnafanya wanawake hawana akili au kitu gani? Hebu tuone mfano huu mdogo............ wewe umeamua kuwa na nyumba ndogo ukiwa na strategies zako na nyumba ndogo naye anajijua yeye ni mwizi na ipo siku nyumba ...

Tatizo la wanawake ni kujua kuwa wewe ni nyumba ndogo.

Some had found themselves nyumba ndogo while they are in marriage. Amefunga ndoa na mumewe na baada ya miaka 3 anakuja gundua mume ana mke na wtt
 
babu unataka kutuambia hamna wanaume ambao hawacheat mi sikubaliani na wewe hata kidogo
Ukiona mwanaume hana nyumba ndogo basi ujue huyo ni mtaalam wa ku HIT and RUN.

Ni mie hapa nimebakia kwa ajili ya kuwapeni habari!...........Hapa nnakabiliwa na kile alichosema Yesu "Nabii hakubaliki nyumbani kwao"
 
Kama kweli unaamini hivo basi nakuonea huruma sana. Amini usiamini kuna wanaume ambao HAWATEMBEI NJE YA NDOA, mwanzo mwisho. na kama unataka kua mmoja wao kuanzia leo basi anza kwa kukubali kama inawezekana. so long as utadhani ni story telling tu, utaona upuuzi kujaribu.
Na hii ndio maana hasa ya thread hii: mbona watu wanachukulia kucheat as something unavoidable? kama vile hata ujaribu vipi hauta weza? na wanaenda mbali katika hilo, not only hauwezi kujiziwia, ila unatakiwa kupanga cheating yako kwa busara ili ufaidi dhambi yako...
Nina mifano mingi......... Kazini hapa
Nina Mifano mingi........Baa huko
Nina mifano mingi...... Nyumbani kule

Karibu wooote, wanaume wooooote ninaowajua. Nasema karibu wooote....... Si WAAMINIFU!
Na ukienda kwa wake zao wako tayari kuapa kwa kuruka misahafu kuwa waume zao ni waminifu!

Mie nawaleteeni ukweli mnanipinga. Shauri zeni

Ngoja nikajilie ugali bana! Njaa inauma mbaya!
 
B' hebu wasome hapa chini hawa... Ni wanaume wenzio by the way...

Bi Asha acha kunichonganisha na marafiki zangu
kina TF,kuna kitu ningekujibu........halafu mwambie SaraM ambaye kauliza kama kwa mme alifata pesa au mtalimbo,nenda kamwambie Bishanga kasema mwanaume ni nyasi za masika ukikata zinaota hapo hapo,kisha muulize amenipata?
 
I think walimaanisha RussianRoulette, ambae mimi napinga sana.

Was kidding mkuu RR...

Kuna mtu amekuchukulia ID yako...........hii inamaanisha kuna tukio linaloendana na hii thread linatakiwa kufanyika kwa hizi ID.

Well....
Samahani Aspirin, kuna RR na Russian Roulette. Usichanganye hapo. wewe ulinijibu kwa kuandika RR, na yeye akajibbu kufatana na mtazamo wake. pole sana.

Eti mi na we tupingane?
 
babu unataka kutuambia hamna wanaume ambao hawacheat mi sikubaliani na wewe hata kidogo
Chauro Mpenzi......... Sijasema wote ila karibu wote. Ngoja niweke kimahesabu. Ailimia 99 ya wanaume wanacheat! Nimesema ngapi? Yes 99%!!!! Nlitaka niseme 98 lakini hapana ili niwe precise ni 99%. Kama wa kwako kaangukia kwenye hiyo moja basi mshukuru sana Mungu.

Na kuna kautafiti ambako bado hakajakamilika kameonyesha kuwa ndoa ambayo mwanaume hacheat basi ujue mkewe anacheat.........
Msinishambulie jamani, ila ni kautafiti tu!
 
7.Nyumba ndogo lazima iwe kifaa cha uhakika.ikiwezekana imzidi wife..ili mkeo akigundua
awe mpole,ukichukua mwanamke mbovu,wife atakudharau..na asiwe 'kicheche maarufu..utaumbuka.



hii sheria namba saba imenichekesha kweli.......lizzy jamaa anamalizia kuregister kama new user soon atakuja na majibu ya swali lako.....

Namsubiria......
 
kama ni hivyo mbona hamuwahalalishi kabisa, mnabakia mnajiiba iba tu, kinachowasumbua ni tamaa tu hamna lolote, na yote yawezekana mtu ukuamua....


Can't believe this....darling umeniruhusu niwe na nyumba ndogo?
Tunaficha kwa kuwa hamtaki kuitwa wake wenza....
 
Chauro Mpenzi......... Sijasema wote ila karibu wote. Ngoja niweke kimahesabu. Ailimia 99 ya wanaume wanacheat! Nimesema ngapi? Yes 99%!!!! Nlitaka niseme 98 lakini hapana ili niwe precise ni 99%. Kama wa kwako kaangukia kwenye hiyo moja basi mshukuru sana Mungu.

Na kuna kautafiti ambako bado hakajakamilika kameonyesha kuwa ndoa ambayo mwanaume hacheat basi ujue mkewe anacheat.........
Msinishambulie jamani, ila ni kautafiti tu!
Babu bana dah nimecheka kweli aisee
 
Back
Top Bottom