Jibu kwa The Boss (Nyumba ndogo)

Roulette

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
5,579
5,375
Siku kadhaa zilizo pita kuna member alitoa post kuhusu utaratibu wa ku-manage nyumba ndogo ili asi lete utata. Member huyo anaitwa The Boss.
Pamoja na kumshukuru kwa kutoa maoni na shauri zake kuhusu Nyumba ndogo, mimi kama mwanamke nimeona siwezi kujibu kwenye post lile ila nifungue tu thread mpya sababu mtazamo wangu na wake ni tofauti kabisa.
  1. Kwanza namlaumu kwa kutoa thread kama hiyo sababu ina halalisha kitu kilicho haram. nikijieleza kwa mfano, ni kama kusema inakatazwa kuua mtu ila kama utaamua kumchinja kumbuka kutoa carpet usilijaze damu. Mtasema hana influence ya kuhalalisha au kuharamisha kitu, na ni kweli, ila yeye ndie alitoa mwelekeo wa thread na kila alie changia kwa kumsupport (na kila alie “like” thread yake) ameongeza sauti lake kwenye mada na hivo msomaji wa kawaida (mimi na wewe) tunahisi kuna watu wengi sana wanamtazamo huo. Kwa mtu alie kua na nia ya kwenda nje, au Yule tayari anatembea nje ya ndoa, ni ruhsa tosha ya kuendelea katika njia hiyo.
  2. Pili, kama ikitokea mtu aanguke na atoke nje ya ndoa, shauri la kumpa sio namna gani aifanya hali hiyo iwe shwari na idumu, bali nikumshauri namna gani anaweza kujitoa katika mtego huo. maada ya thread hii sio kutoa huo ushauri, labda nitarudi baadae.
  3. La tatu na lililo nikwaza zaidi ni heshima ndogo ya utaratibu mzima kwa wanawake, iwe nyumba kubwa au nyumba ndogo. Kwa namna nilisoma thread (kama nilikosea naomba anikosoe) kila kitu kina husisha kugawa hela kati ya nyumba kubwa na nyumba ndogo (material distribution) na heshima/mtazamo wa ndugu na rafiki. sikuona katika thread hiyo mapenzi yanawekwa wapi, heshima ya muhusika kwa nyumba kubwa, au nyumba ndogo, watoto, tegemeo za watu wengine na kadhalika vikija katika hesabu.
Katika dunia ya JF, ni sawa kuanzisha thread kama hiyo ila dunia ya kweli ambayo ninaishi mimi, na wengine wengi, hivyo vitu vipo. Mtu anaheshima yake na akienda kwa nyumba ndogo conscience yake inamsumbua. kuna mapenzi kati ya yeye na nyumba kubwa, au kati ya yeye na nyumba ndogo, au yuko in transition, akitoa mapenzi kwa bimkubwa kwenda kwa nyumba ndogo(or whatever the case). Pia wanawake hao ni binadamu na wana akili, tumaini, na hisia zote za kawaida. wanapiga hesabu za maisha na kusema kesho nataka mimi na mpenzi wangu tuwe hivi, na hivi, na hivi. na wanatumia njia mbali mbali za kumshawishi mwanaume afate hizo njia.
Kwa kumalizia nataka kukumbusha kama kila mtu ana mtazamo wake wa haya mambo na nina heshimu mtazamo wa kila mtu. Huu hapa ni mtazamo wangu na naomba uheshimiwe pia. Sijakataza kutoa maoni yenye kupinga mtazamo, nimeomba tu tuchangie kwa heshima.
Asanteni.
 
RR

Hata ulalame vipi

Nyumba ndogo / cheating / infidelity haikwepeki!
Kuna watu wengi tunao wajua na tusio wajua hawana nyumba ndogo. Na hata kama mtu anae, ushauri wa kumpa ni namna gani anaweza kuachana na tabia hiyo.
Hivi unadhani ushauri wa the boss unasaidia nini zaidi ya kukupa confidence ya kufanya ujinga? The Boss kasema as if mwanaume yuko in charge, in control of the situation ila ukitazama katika maisha ya kila siku hana control yoyote. anafanya maamuzi kutokana na influence ya wanawake hao, na vitu vingine vingi ambavyo hawezi control.
 
Roulette... Umeniwahi for nipo kuandika a Counter thread kuhusiana na Nyumba ndogo... On a Serious note.... Hilo hata Boss mwenyewe nimem-forwadia pamoja na Mwenyekiti wao (Darling Kaizer) Hamna lilillohaibika thou... Tutajion tu hizo forces.... ila kwa vigezo kua inabidi tukuabali kua Ndio reality na sasa tufanye vipi hawa wa kaka/baba wajue kua hatupendi na kamba tukiamua tunaweza tumia grader zetu ikabaki vumbi tu... Kigezo kikubwa kwanza ni kukubali... then we ATTACK!!!

I feel where it is coming from for I am a woman tu... twaweza ongea kwa mzaha, twaweza kubali kua ndio ukweli BUT Ukweli unabaki kua inauma.... Hata hivo kuna threads nyingi saana zimeanzishwa za Nymba Ndogo na hii jamii ya MMU ina wanawake na wanaume... BUT Sidhani kama kuna thread isha wahi funguliwa kupinga ama kutoa msimamo wa sie wanawake tunafaikiria vipi (My thread imelenga hivo pia) Hivo basi Roullette nakupongeza kwa hii thread na nimefurahi....
 
Kuna watu wengi tunao wajua na tusio wajua hawana nyumba ndogo. Na hata kama mtu anae, ushauri wa kumpa ni namna gani anaweza kuachana na tabia hiyo.
Hivi unadhani ushauri wa the boss unasaidia nini zaidi ya kukupa confidence ya kufanya ujinga? The Boss kasema as if mwanaume yuko in charge, in control of the situation ila ukitazama katika maisha ya kila siku hana control yoyote. anafanya maamuzi kutokana na influence ya wanawake hao, na vitu vingine vingi ambavyo hawezi control.
Huku kuandika kwa msisitizo na ukali kunaonyesha kwamba wewe una ndoa changa. Ngoja ipate umri kwanza ndiyo utajifunza mengi.
 
Siku kadhaa zilizo pita kuna member alitoa post kuhusu utaratibu wa ku-manage nyumba ndogo ili asi lete utata. Member huyo anaitwa The Boss.
Pamoja na kumshukuru kwa kutoa maoni na shauri zake kuhusu Nyumba ndogo, mimi kama mwanamke nimeona siwezi kujibu kwenye post lile ila nifungue tu thread mpya sababu mtazamo wangu na wake ni tofauti kabisa.
  1. Kwanza namlaumu kwa kutoa thread kama hiyo sababu ina halalisha kitu kilicho haram. nikijieleza kwa mfano, ni kama kusema inakatazwa kuua mtu ila kama utaamua kumchinja kumbuka kutoa carpet usilijaze damu. Mtasema hana influence ya kuhalalisha au kuharamisha kitu, na ni kweli, ila yeye ndie alitoa mwelekeo wa thread na kila alie changia kwa kumsupport (na kila alie "like" thread yake) ameongeza sauti lake kwenye mada na hivo msomaji wa kawaida (mimi na wewe) tunahisi kuna watu wengi sana wanamtazamo huo. Kwa mtu alie kua na nia ya kwenda nje, au Yule tayari anatembea nje ya ndoa, ni ruhsa tosha ya kuendelea katika njia hiyo.
  2. Pili, kama ikitokea mtu aanguke na atoke nje ya ndoa, shauri la kumpa sio namna gani aifanya hali hiyo iwe shwari na idumu, bali nikumshauri namna gani anaweza kujitoa katika mtego huo. maada ya thread hii sio kutoa huo ushauri, labda nitarudi baadae.
  3. La tatu na lililo nikwaza zaidi ni heshima ndogo ya utaratibu mzima kwa wanawake, iwe nyumba kubwa au nyumba ndogo. Kwa namna nilisoma thread (kama nilikosea naomba anikosoe) kila kitu kina husisha kugawa hela kati ya nyumba kubwa na nyumba ndogo (material distribution) na heshima/mtazamo wa ndugu na rafiki. sikuona katika thread hiyo mapenzi yanawekwa wapi, heshima ya muhusika kwa nyumba kubwa, au nyumba ndogo, watoto, tegemeo za watu wengine na kadhalika vikija katika hesabu.
Katika dunia ya JF, ni sawa kuanzisha thread kama hiyo ila dunia ya kweli ambayo ninaishi mimi, na wengine wengi, hivyo vitu vipo. Mtu anaheshima yake na akienda kwa nyumba ndogo conscience yake inamsumbua. kuna mapenzi kati ya yeye na nyumba kubwa, au kati ya yeye na nyumba ndogo, au yuko in transition, akitoa mapenzi kwa bimkubwa kwenda kwa nyumba ndogo(or whatever the case). Pia wanawake hao ni binadamu na wana akili, tumaini, na hisia zote za kawaida. wanapiga hesabu za maisha na kusema kesho nataka mimi na mpenzi wangu tuwe hivi, na hivi, na hivi. na wanatumia njia mbali mbali za kumshawishi mwanaume afate hizo njia.
Kwa kumalizia nataka kukumbusha kama kila mtu ana mtazamo wake wa haya mambo na nina heshimu mtazamo wa kila mtu. Huu hapa ni mtazamo wangu na naomba uheshimiwe pia. Sijakataza kutoa maoni yenye kupinga mtazamo, nimeomba tu tuchangie kwa heshima.
Asanteni.
Nkushukuru RR kwali nimefarijika kwa sred yako,japo najua wababa/wakaka wataishambulia sana ila msg send and delivered!
 
me nadhan thr boss yupo sahii kabisa kama imeshaonekana ni ngumu watu kusubiri hadi ndo a ndo wafanye mapenzi basi atleast tuwaelimishe kujikinga kwa kutumia kondomu wasijepata maradhi na kadhalika....sasa wewe russian ukubali kabisa kwamba nyumba ndogo haziepukiki zilikwepo na zitaendelea kuwepo suala liwe ni namna gan ya kuzicontrol nyumba ndogo zisijeleta matata ,madhara kwa maza house original (mshikwa popote original)....
 
RR

Hata ulalame vipi

Nyumba ndogo / cheating / infidelity haikwepeki!

We babu nawe...haikwepeki kwa nani???Wanaojihusisha nayo au wanaofanyiwa hayo?

RR...you are right!!
Mada kama ile inafanya watu wazidi kuona kwamba nyumba ndogo ni sifa/ni muhimu and worth maintaining.
Hata kama ni kweli kwamba imekua sehemu ya maisha ya kileo sio sahihi kuipromote ili izidi kupanda chati.
 
RR,

Ni msimamo mzuri wa kuchukia infidelity na nikuunge mkono katika hilo. However wengi humu ukiangalia vizuri ni majeruhi wa tabia hizo. Ni kweli bandiko la Boss liliwalenga zaidi wanaume. Mie nilivyomwelewa Boss ni sawa na ule ushauri wanaoutumia wale wanaopambana na virusi vya ukimwi. Kuwa ingekuwa vizuri kila mtu akawa na mpenzi mmoja mwaminifu na si vizuri kufanya fanya ngono zisizo responsible! Lakini wanamalizia na msemo kuwa - ukishindwa tumia KONDOM.

Sote twajua evil nature ya nyumba ndogo! However, wapo ambao tunaweza kusema kwenda kwao nyumba ndogo ni justifiable kutokana na kile wanachokumbana nacho huko nyumbani. Au to put it simple, sababu za kwenda nyumba ndogo aside, ukienda zingatia yafuatayo!

Sioni ubaya wowote katika hilo. Kuna wengi (hasa wanaume) wanachangia kwa ushabiki tu na nature ya wanaume iko hivyo (Angalia ni wengi sana kwenye viwanja vya mpira) yaani ni washabiki. Wanaume wengi wanasifia vitu ambavyo hawajawahi hata kuvifanya, ila huwa wanapenda wengi kujulikana misimamo yao!

The fact kwamba wewe ume-leta upande wako kama mwanamke, haina maana unawawakilisha wanawake wote! Ni mawazo yako tu. Wapo wanawake wengi sana walioko kwenye kapu hilo; hizo nyumba ndogo zenyewe au wanawake wenye wanaume nje. Ni wengi tu. Ila thread ile ilikuwa muhimu tu kama ilivyo muhimu hii ya kwako!!
 
Roulette... Umeniwahi for nipo kuandika a Counter thread kuhusiana na Nyumba ndogo... On a Serious note.... Hilo hata Boss mwenyewe nimem-forwadia pamoja na Mwenyekiti wao (Darling Kaizer) Hamna lilillohaibika thou... Tutajion tu hizo forces.... ila kwa vigezo kua inabidi tukuabali kua Ndio reality na sasa tufanye vipi hawa wa kaka/baba wajue kua hatupendi na kamba tukiamua tunaweza tumia grader zetu ikabaki vumbi tu... Kigezo kikubwa kwanza ni kukubali... then we ATTACK!!!

I feel where it is coming from for I am a woman tu... twaweza ongea kwa mzaha, twaweza kubali kua ndio ukweli BUT Ukweli unabaki kua inauma.... Hata hivo kuna threads nyingi saana zimeanzishwa za Nymba Ndogo na hii jamii ya MMU ina wanawake na wanaume... BUT Sidhani kama kuna thread isha wahi funguliwa kupinga ama kutoa msimamo wa sie wanawake tunafaikiria vipi (My thread imelenga hivo pia) Hivo basi Roullette nakupongeza kwa hii thread na nimefurahi....
Kama unavo ema hamna kilicho haribika, hii thread ni ya kupinga ile ya Boss ila bado kuna vitu vingi wanaume wanatakiwa kuelewa. Nasubiri thread yako kwa hamu kubwa.
 
Ukweli ni huu, japo unauma lakini ndio ukweli wenyewe.

Tangu kuumbwa kwa dunia hii.......... hakuna kiumbe chochote cha kiume kilichoumbwa kwa ajili ya kiumbe kimoja tu cha kike......!

Mitume na manabii karibu wote katika vitabu vyote walimiliki si chini ya mke mmoja........ Si ajabu tunaona wanawake wako radhi kuolewa mitala....Laiti wanawake mngekubaliana na hili la kuturuhusu tuoe zaidi ya mke mmoja, labda ndo lingekuwa suluhisho la kuisha hili tatizo. lakini kwakuwa hamtaki, na siye hatujaumbwa kwa ajili ya mke mmoja...........hamna jinsi lazima nyumba ndogo ziendelee ku-ezist.

Nyie kinamama hamuyaoni hata majogoo mitaani kwenu? Khaa!...........wanaume hawariziki na kikojoleo kimoja, mbona hampendi kutuelewa!
 
Huku kuandika kwa msisitizo na ukali kunaonyesha kwamba wewe una ndoa changa. Ngoja ipate umri kwanza ndiyo utajifunza mengi.
Kweli sina miaka sana ndani ya ndoa ila naamini iwapo nitazungumza na mume wangu kuhusu mitazamo yetu ya haya mambo na nikamwambia nitakavo hisi kuhusu watu kua na nyumba ndogo mambo yetu yatakua sawa tu. Mbona kuna wengi waliweza?
 
Back
Top Bottom