Ni nyumba ya kulala wageni...,😂asa sijui kinakuuma nini mkuu wageni wakifanya mapenziKama mada inavyojieleza hapo juu, tafadhali husika.
Ni nyumba za kulala wageni au ni nyumba maalumu kwa kufanyia uzinzi na uasherati?
Wako katika ujenzi wa Taifa,
DON YRN.
Mazingira kuboreshwa ili kutimiza uumbaji bado mnabeza?Kama mada inavyojieleza hapo juu, tafadhali husika.
Ni nyumba za kulala wageni au ni nyumba maalumu kwa kufanyia uzinzi na uasherati?
Wako katika ujenzi wa Taifa,
DON YRN.
ni nyuma za kujisitiri na faragha,Kama mada inavyojieleza hapo juu, tafadhali husika.
Ni nyumba za kulala wageni au ni nyumba maalumu kwa kufanyia uzinzi na uasherati?
Wako katika ujenzi wa Taifa,
DON YRN.
Huna hela wewe acha kwenda kwenye madanguro ya 20k yaliyopewa jina la hadhi ya lodge, huko ambako mnakutana na hizo shida.Kwa kweli ni sheeedah.
Lodge nyingi au tuseme zote asilimia zaidi ya 70 wateja ni wazinzi tu. Wageni serious ni wachache sana nao kama mtu uko busy na shughuli muhimu na hauna mpango wa kuimport malaya utaona tabu tu maana lodge nyingi hazina privacy. Unaingia rum kwako unasikia chumba cha pili makelele mtu ananyanduliwa. Lazima mzuka ukupande na ww.
Kama ww ni mgeni kweli kweli na una hela inayoeleweka nenda tu hoteli zenye utulivu. Usiende lodge
Cha kwanza tambua sijauliza bei ya lodge wala kujua ubora wala thamani yake.Huna hela wewe acha kwenda kwenye madanguro ya 20k yaliyopewa jina la hadhi ya lodge, huko ambako mnakutana na hizo shida.
Kuna lodge ambazo hata baadhi ya hotel hapa bongo hazifikii kwa hadhi na huduma bora.
Cha msingi ni pesa yako na connection tu ya kujua wapi utapata huduma ya hizo lodge zenye hadhi ya kuitwa lodge, ukiachana na hayo mazizi tunayojenga mitaani na kuyaita lodge
Kwani mapokezi huwa wanakupangia cha kufanya?Kama mada inavyojieleza hapo juu, tafadhali husika.
Ni nyumba za kulala wageni au ni nyumba maalumu kwa kufanyia uzinzi na uasherati?
Wako katika ujenzi wa Taifa,
DON YRN.
Hana demu huyoNi nyumba ya kulala wageni...,asa sijui kinakuuma nini mkuu wageni wakifanya mapenzi
Napenda vitombo.Kitombo