Swaiba Laiti ungelijua.. Tatizo Preta hataki kabisa kukubali mimi nijiweke pembeni. Mi nna Jimama langu huwa linanibemenda taratibu, sijui Mtu Chake anashindwa nini mpaka Preta ananing'ang'ania kiasi hiki.. Badala ya kuhangaika na mimi Nakushauri umshauri Mtu Chake ajichunguze. Lol
Mama Ashrat tukichanganya post zake za ID zote tunaweza tukamkuta anakimbizana na idadi ya post za Mwanakijiji. Na huu pia si udakuEti klorokwini, Mama Ashrat ni memba mpya au wa zamani? Tumia kipaji chako cha ulawyer kung'amua.
ninatangaza kujiua.....
HABARI KAMILI:
na mwandishi maalum
-Baada ya Kongosho kuchoropoa mimba ya Asprin,mmewe ajua,amtwanga talaka na kibondo juu,yuko icu.
-Mama Matesha naye ainyaka live,ammmwagia Asprin maji ya betri,uso nyanganyanga,yuko icu
-@Nyagi ngabu amkosa bishanga risasi,kisa wivu,atiwa nguvuni na kubondwa na manjata,yuko icu
-@Cantalisia amfumania rejao na Amyner,amnyofoa rejao korodani Rejao hoi,yuko icu
-@Husninyo amlipua babu DC hadharani,asema ndo alimpa kideti Babu DC apata mshtuko,yupo icu
-Bishanga akaribishwa kwa bashasha unga ltd,aenda usiku,atumbukia kwenye mtaro,kiuno hoi,yuko icu
-Kloro afoji cheti cha ndoa ili alipwe nauli kazini,adai yeye ni mmewe Preta,preta agundua,ampa za uso,yuko icu
Watajiju. teh teh teh. kama walidhani ni shori imekula kwao. na pm zao naanika vile vile.
--Kuna tetesi kuwa Bishanga yuko hoi taabani I.C.U baada ya kupigwa kibuti na Binti Kigori Lizzy,, ashangaa ujasiri wa huyo Binti kumkataa pamoja na kuahidi kumfungulia Pub... Kutokana na uenyeji wake huko I.C.U Madaktari wamempa jukumu la kupokea Taabani wenzie na kutoa Ripoti za nani kaingia, nani katoka.
Mkurugenzi wa idara ya habari maelezo alifungia jf udaku,ni baada ya mhariri wake TANMO kufumwa aki hack mailbox ya Lizzy.
Mtu Chake si umeshamwaga Preta?
Hebu jiweke pembeni basi wengine tujinafasi.
Habari ya Jimama tuiache kwa sasa, manake ndo linaniweka mjini..
Hahahaha! Wacha tuanze kumfuatilia kwa ukaribu lol.Mama Ashrat tukichanganya post zake za ID zote tunaweza tukamkuta anakimbizana na idadi ya post za Mwanakijiji. Na huu pia si udaku
BADILI TABIA apata mchumba wa kinaijeria fesbuku.klorokwini aangusha bonge la pati
-kwa kuchaguliwa kuwa waziri asiyekuwa na wizara maalum
-adai dawa za babu wa ukerewe zafanya kazi
BADILI TABIA apata mchumba wa kinaijeria fesbuku.
Mwandishi wetu ambae ananyaka habari kwa vifaa vya kisasa vya blue tooth ametunyetisha kwamba yule memba anaekwenda kwa jina la badili tabia hapa JF amefanikiwa kumweka kibindoni mnaijeria mmoja ambae anapenda kuweka kalkiti zaidi hata kuliko ugali wa fufu. Gazeti hili lilifanikiwa kumvutia uzi mnaijeria huyo na alisibitisha yafuatayo.
" Ni kweli mimi na badili tabia tulikutana kanisani na tukatoleana sadaka sku mbili tatu halaf tukapeana akaunti za fesbuku na halaf ndio tukagundua kumbe chemistry yetu na baioloji yetu zinaendana na hapo ndio tukamwamuru pepo atoke kwa vitendo na sasa tunasubiri siku ya ndoa tu" akamalizia kwa kusema aleluyyah