Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
wenyewe wanasema Every day we take one step ahead..... Bahati mbaya hakuna member nimjuae kwa undan.
Jisemee wewe mwenyewe!
wenyewe wanasema Every day we take one step ahead..... Bahati mbaya hakuna member nimjuae kwa undan.
Baada ya juhudi kubwa za kuirekebisha serikali iliyoko madarakani kushindikana, Hatimae JF yajitangaza rasmi kua Jamhuri huru inayojitegemea baada ya kujitenga na Tanzania,
Rais ni M. Melo,
Mods kua mawaziri,
Members kua wabunge,
Guests kua wananchi.