JF Tumempata Deo Kisandu mpya

JF Tumempata Deo Kisandu mpya

Status
Not open for further replies.
Mwamba ana maono safi ila kuyatekeleza Kwa vitendo ndo vigumu . pavement dar yote na barabara za lami Tu zimetushinda Dennis Robert Shughuru
Kama watu wengine wameweza kwanini unahisi sisi hatuwezi

Unajua jiji kama Beijing, Tokyo, ni makubwa sana na sehemu kubwa wamepiga pavement ni kweli China na japana wametupita kiuchumi unadhanije haiwezekani
 
Kumekuwa na tatizo kubwa la afya ya akili kwa vijana wengi na kwa nchi yenu Tanzania naona kama wala hamuhangaiki na kuwasaidia hawa watu. Miaka ya nyuma alikuwepo Deo Kisandu. Alianza kama huyu dogo Dennis ambavyo ameanza. Watu wakawa wanamcheka. Mwisho wake nadhani wakongwe tunafahamu.

Nadhani JF mods muangalie kama inawezekana huyu dogo apatiwe matibabu mapema. Akili yake haina afya

View attachment 3363134View attachment 3363135
Umeamia kwenye personal attack wala siwezi kasirika
 
Kama watu wengine wameweza kwanini unahisi sisi hatuwezi

Unajua jiji kama Beijing, Tokyo, ni makubwa sana na sehemu kubwa wamepiga pavement ni kweli China na japana wametupita kiuchumi unadhanije haiwezekani
Cite NCHI ya afrika ,china Achana nayo . vipi Egypt Wana pavement?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom