JF Tumempata Deo Kisandu mpya

JF Tumempata Deo Kisandu mpya

Status
Not open for further replies.
Kumekuwa na tatizo kubwa la afya ya akili kwa vijana wengi na kwa nchi yenu Tanzania naona kama wala hamuhangaiki na kuwasaidia hawa watu. Miaka ya nyuma alikuwepo Deo Kisandu. Alianza kama huyu dogo Dennis ambavyo ameanza. Watu wakawa wanamcheka. Mwisho wake nadhani wakongwe tunafahamu.

Nadhani JF mods muangalie kama inawezekana huyu dogo apatiwe matibabu mapema. Akili yake haina afya

Screenshot_2025-06-10-13-59-55-453_com.android.chrome.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom