JF Tumempata Deo Kisandu mpya

JF Tumempata Deo Kisandu mpya

Status
Not open for further replies.
Tupo nyuma yake Raisi wetu sisi tutamtetea popote alipo sisi tupo Raisi MWENYE INTEGRITY KUBWA Sana Sanaa hatuna kama yeye uchumi unapaa.. multiplier effect inaenda kuongezeka maradufu sekta za kimkakati kama gesi, umeme, maji na miundombinu muhimu pia alisema HUDUMA ZA INTERNET zitakua nafuu mnooo

#Roberts anatosha
#Roberts for president
#Roberts tuvushee
Red black ona watu wenye matumaini na rais

#roberts tuvusheeee......nakubal Dr am 4 real PhD
 
Sawa pavement itachangia asilimia ngapi ubora WA maisha ya watanzania ikiwa leo Tu hatuna madawa hospital na pembejei za kilimo za uhakika ?
Nina nyuzi karibia 50 paving ni moja kati ya hizo karibia 50

Nikuulize swali kwa hiyo wazungu na watu wengine hawana akili kwa kupiga miji yao paving

Unajua lami ni sehemu ya paving hili kweli unalijua
 
Nina nyuzi karibia 50 paving ni moja kati ya hizo karibia 50

Nikuulize swali kwa hiyo wazungu na watu wengine hawana akili kwa kupiga miji yao paving

Unajua lami ni sehemu ya paving hili kweli unalijua
SASA Fanya hivi Nenda kapangilie vizuri nyuzi Zako then uje utuambie pavement NI stage ya ngapi .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom