Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,930
- 20,938
Inaweza kuwa ukweli, lakini unahitaji muda mrefu sana kuja kuthibitisha na jamii kukuelewa.Msimamo wangu wa sayari na universe ni uleule na nilichongea ni ukweli.
Inaweza kuwa ukweli, lakini unahitaji muda mrefu sana kuja kuthibitisha na jamii kukuelewa.Msimamo wangu wa sayari na universe ni uleule na nilichongea ni ukweli.
Red black ona watu wenye matumaini na raisTupo nyuma yake Raisi wetu sisi tutamtetea popote alipo sisi tupo Raisi MWENYE INTEGRITY KUBWA Sana Sanaa hatuna kama yeye uchumi unapaa.. multiplier effect inaenda kuongezeka maradufu sekta za kimkakati kama gesi, umeme, maji na miundombinu muhimu pia alisema HUDUMA ZA INTERNET zitakua nafuu mnooo
#Roberts anatosha
#Roberts for president
#Roberts tuvushee
jamaa anamjaza tu upepo hapo😆
Sawa pavement itachangia asilimia ngapi ubora WA maisha ya watanzania ikiwa leo Tu hatuna madawa hospital na pembejei za kilimo za uhakika ?Sasa hata kama hamna nchi ya afrika hiyo siyo sababu ya kutuzuia tusifanye
Fahamu Morocco na Algerian miji yao sehemu kubwa ina paving
Watu Wana Imani naye kiongozi 😂😂😂jamaa anamjaza tu upepo hapo😆
hapana nakataaWatu Wana Imani naye kiongozi 😂😂😂
Unakataa nini kiongozi....kwan ana haki ya kuwa raishapana nakataa
😆😆Mungu amwangazie mwanga wa milele aisee
Nina nyuzi karibia 50 paving ni moja kati ya hizo karibia 50Sawa pavement itachangia asilimia ngapi ubora WA maisha ya watanzania ikiwa leo Tu hatuna madawa hospital na pembejei za kilimo za uhakika ?
😄Cheka akuone
nimeshakwambia hamna rais hapo tujadili mambo mengine.Unakataa nini kiongozi....kwan ana haki ya kuwa rais
Neno lako sio sherianimeshakwambia hamna rais hapo tujadili mambo mengine.
😆😆😄Cheka akuone
😭😭😭Haya tujadili pavement za dar nzima atakazoweka akiingia madarakaninimeshakwambia hamna rais hapo tujadili mambo mengine.
unarudi kule kule unataka vibao ?🤒😭😭😭Haya tujadili pavement za dar nzima atakazoweka akiingia madarakani
SASA Fanya hivi Nenda kapangilie vizuri nyuzi Zako then uje utuambie pavement NI stage ya ngapi .Nina nyuzi karibia 50 paving ni moja kati ya hizo karibia 50
Nikuulize swali kwa hiyo wazungu na watu wengine hawana akili kwa kupiga miji yao paving
Unajua lami ni sehemu ya paving hili kweli unalijua
😂😂😂Basi mkuu acha nikusikilize😂😂😂ila pavement daahunarudi kule kule unataka vibao ?🤒
I'm out😂😂😂Basi mkuu acha nikusikilize😂😂😂ila pavement daah
😁Usinichonganishe na mh. RAIS wetu MTUKUFU ajaye mtarajiwa ROBERTS.jamaa anamjaza tu upepo hapo😆