KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
hebu nijulisheni ni cheo cha ngap hapa jf? Au ipoje?
Ni ujinga fulani hivi yaani ukiwa zumbukuku mkubwa hivi unaitwa jina hilo.hebu nijulisheni ni cheo cha ngap hapa jf? Au ipoje?
Ni ujinga fulani hivi yaani ukiwa zumbukuku mkubwa hivi unaitwa jina hilo.
Naomba kufahamishwa kwanini Malaria Sugu ana posts zaidi ya 8,000 lakini hadi leo hajawa Premium Member humu JF na badala yake amebaki kuwa Senior Expert Member sawa na sie wenye post 200 huku kukiwa na baadhi ya Premium members ambao wana posts 1,000 tu?? Mods kama naweza kupata ufafanuzi nitashukuru
kuna thread inajibu hilo swali lako. lakini vyeo vinategemea na count ya posts, mfano ukifikisha 250 kama sijakosea basi unakua JF Senior and Expert Member. U-Premium ni kama una/umechangia ki fezwa..........nadhani inatosha kwa ufupi!!.
Ana mkono wa birika huyo, mkono mtupu haulambwi.Naomba kufahamishwa kwanini Malaria Sugu ana posts zaidi ya 8,000 lakini hadi leo hajawa Premium Member humu JF na badala yake amebaki kuwa Senior Expert Member sawa na sie wenye post 200 huku kukiwa na baadhi ya Premium members ambao wana posts 1,000 tu?? Mods kama naweza kupata ufafanuzi nitashukuru
Natakiwa niwezeshe JF kiasi gani ili niwe JF premium member?kutakuwa na ranking ya JF Premium member (wale ambao watakuwa wawezeshaji wa JF financially.
See Mwendapole . He/She is a JF Premium Member. Ni mfano tu
Natakiwa niwezeshe JF kiasi gani ili niwe JF premium member?