JF: Rankings, Reputations na Maswali Mengineyo..

JF: Rankings, Reputations na Maswali Mengineyo..

kwa hiyo ukichangia kunakuwa premium member?....minimum ni kiasi gani?
 
Kiasi chochote unachoweza wewe!

Mmmmh kwa faida nazopata hapa JF itabidi tu nichangie si ili nibadili jina! Actually mi napenda sana JF SENIOR EXPERT MEMBER,ntachangia ila waniache na hilo hilo.................lol
 
Maswali kama haya yananifanyaga niamini kunawatu wamejiunga na jf na kuanza kupost tu.
Hizo sticky post zinamaana kubwa kuwepo hapo hebu tuzipitieni jamani, Haileti picha nzuri kwa memba wa mwaka mmoja hajui tofauti ya rank za membaz

Pia baadhi ya post hazionekani kwa baadhi ya members ni kwanini? au huku kuna ufisadi pia? Nafikiri kuelimishana ni muhimu pia kuwa memba wa miaka au mwaka haimaanishi hauwezi kuelimishwa......nyie ndio wale mkishapata elimu mnawashangaa na kuwadharau wenzenu wasiosoma ni kwanini hawajasoma kama nyie.......
 
Mmmmh kwa faida nazopata hapa JF itabidi tu nichangie si ili nibadili jina! Actually mi napenda sana JF SENIOR EXPERT MEMBER,ntachangia ila waniache na hilo hilo.................lol
Changia mwaya JeiEff izidi kupamba moto!
 
Wanasema eti mkono mtupu haulambwi ongea na Invisible jinsi ya kuwakilisha mchango wako.
 
Pia baadhi ya post hazionekani kwa baadhi ya members ni kwanini? au huku kuna ufisadi pia? Nafikiri kuelimishana ni muhimu pia kuwa memba wa miaka au mwaka haimaanishi hauwezi kuelimishwa......nyie ndio wale mkishapata elimu mnawashangaa na kuwadharau wenzenu wasiosoma ni kwanini hawajasoma kama nyie.......

we changia utaona kila kitu kinajipa chenyewe
 
Nawashukuru wote kwa majibu yenu. Pia namshukuru mdau mmoja alini-PM na kunifafanulia kwa undani zaidi. Nitachangia lakini ningependa kubakia JF Senior Expert Member badala ya kuwa Premium Member.
 
Nashukuru sana kwa maelezo haya
Dotori,

Naheshimu kila swali la mwanachama japo sometimes nashindwa kujibu maswali yote. Jambo hili hunisikitisha sana na huwa najiona kama nimewakosea wengi kwa kutomjibu mmoja. Believe me; swali lako linawezekana kuwa limewasaidia wengi ambao hawakujua maana ya Reputation Power.

Sasa icon iko juu na inaonekana hivi:
reputation.gif
 
Nawapongeza katika Hili, Good work JF team! The entire JF initiative is impressive!
 
Maswali kama haya yananifanyaga niamini kunawatu wamejiunga na jf na kuanza kupost tu.
Hizo sticky post zinamaana kubwa kuwepo hapo hebu tuzipitieni jamani, Haileti picha nzuri kwa memba wa mwaka mmoja hajui tofauti ya rank za membaz

Nashangaa post yangu nilipost mwanzoni mwa mwaka 2010 nilipojiunga na JF, leo inaonyesha as I posted it this year. Tarehe inakuchanganya. I was new when opened the thread. Naona imeungamishwa na hii to make it as if I posted this year. Misleading.
 
Samahani mkuu kama nitakuwa nimetoka nje au nimeuliza kitu ambacho sijajua kama kipo. Nimeona kuna ki-like ambako kama ume-like post basi unamtendea haki alotoa post inayokufurahisha. Lakini nadhani hatuwatendei haki wanaotoa post zisizotufurahisha! Haiwezekani kuwa na Dislike au Unlike ili mtuma post ajue kabisa hajafanya vizuri? Hii inaweza ikamsaidia kujievaluate yeye na aina ya post au hata lugha anayoitumia? Maana tukiiacha tu bila atakuwa anapata mixed interpretation may be mmesahau au hamjasoma?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom