laptop yangu ilivunjika screen........ sasa leo mchana nikapata mpya...cha kanza nikafungua jf na kukuta inteface ya maana....... nikaanza nikshangaa hii laptop mpya vipi?......... kwa kweli iko poa sana...........ibaki hivi hivi hadi baadae huko mahitaji yakiongezeka
:clap2:Naomba fonts zinazotumika ziongezwe ziwe kubwa. Zilizopo sasa hivi ni ndogo na wengine miaka imekwenda hatuoni vizuri herufi ndugu. Natanguliza shukrani.:clap2:
yes Have noticed some changes late this evening. Looks better na wamejaribu kurahisisha links zimeoboreshwa na zinaonekana kwa urahisi. Well done JF Guys:A S crown-1:
Mkuu kimsingi iko vizuri ila inabid kagepu kidogo kaongezeke toka inapoishia post ya user mmoja na kuanza post ya user mwingine maana zikibanana kama hivi zinaumiza macho. Well done
Big up JF team, kuna members wanasema font zimekuwa ndogo nafikiri hii inasababishwa na upana wa window, ningeshauri left margin ya paragraph iwe kama zamani yaani ianzie usawa wa inapoishia frem ya Avatar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.