JF Pre-Launch, toa maoni yako!

Majina ya members wanao-post, hayaonekani mpaka mtu u-sign in.

Hili linanikwaza mimi binafsi.
Ninapenda kuona kwanza majina fulani ndio nisome posts. Kuna post zingine unaweza kujua ni za kuzisoma au kutozisoma kwa kuona jina la mchangiaji, maana wengine wanafahamika muelekeo wao kwenye issue fulani. Sasa hivi naona mpaka u-sign in ndio majina yanaonekana vizuri. Vinginevyo, mbali na hii kasoro, nimefurahia muonekano mpya.
 
Wakuu,

Marekebisho kadhaa yataendelea kufanyika; mtakuwa mnaona changes taratibu na hadi kufikia Ijumaa next week kila kitu kitakuwa tayari.

SIDHANI kama kuna haja ya ku-roll back. Hata the previous design ilipata malalamiko mengi lakini tulirekebisha kadhaa na mengine tumeyarekebisha katika new design (ya sasa).

LAKINI, you are always right, if you need to roll back we can do so...!

Wanaoongelea issue ya MUSIC possibly hawajasoma 1st post wameanzia katikati tu.

The Mobile THANKS button has been fixed, wakati wa mabadiliko kuna vitu hutokea bila kuwa planned, tunakumbushana na vinakuwa fixed accordingly.

SORRY for my swanglish :)
 
Wapwaz binafsi sijafurahia this new JF look kwa vitu vifuatavyo

Majina (ID) na status zilivyokuwa mwanzo ilikuwa yanifaa zaidi kuliko ilivyo sasa!
Bar inayobeba Forum menus............ni kama imefunikwa na mirangi rangi na makorombwezo mengine inanichukua muda kuiona

Ni ayo machache
Dah, kazi kweli kweli.

This' what I can see mkuu

majinaz.jpg


LAKINI: Tunalifanyia kazi hili kuhakikisha unapata unachotarajia
 
Kwa wale wenye umri kama wangu, font size by default imeongezwa, tunaendelea na marekebisho
 
Post za kuanzia juzi na kurudi nyuma hazionekani kwenye profile ya muhusika, mmezifuta au? hii pia iliwahi kutokea mlipo badilisha ile ya manzo.
 
Ndiyo ni mzuri, lkn unahitaji muda kuuzoea. Mbona majina ya wachiangiaji hayaonekani ila avatar zao tu??
This was fixed, hata ile ya Make it my Homepage tumeirekebisha.

Tutaendelea kurekebisha kadiri mnavyotufahamisha.
 
kitufe cha 'remember me' wakati wa kusign in hakipo, kinaweza kurudi?
Mkuu, tulikiondoa kwakuwa tulitambua kuwa browsers nyingi za kisasa:

Opera - Opera Web Browser | Faster & safer | Download the new Internet browsers free
Mozilla FireFox - Mozilla | Firefox web browser & Thunderbird email client
Google Chrome - Google Chrome - Get a fast new browser. For PC, Mac, and Linux
Safari - Apple - Safari - Browse the web in smarter, more powerful ways.
Internet Explorer 8 - Internet Explorer 8: Worldwide sites

nakadhalika zinapatikana BURE (links nimeziambatanisha) zote hizi zinatoa option ya kukumbuka ID na password (kama mhusika anahitaji).

USHAURI: Wale mnaotumia IE jaribu ku-upgrade kwenda IE8 (IE = Internet Explorer) japo si pendekezo langu kwa wengi, nashauri tumia FireFox mkuu, naamini wewe mjanja na utakuwa unayo!
 
Mimi nasuggest kuwe na subforum katika jukwaa la dini jina lake liitwe UDINI TANZANIA. Hii itaepusha watu kuchangia topic za maslahi ya taifa kwa itikadi za kidini, kama ukichunguza utaona kuna fierce battle kati ya wakristu na waislamu katika kuchangia topics ziwe za siasa, dini, elimu n.k.

Tukianzisha hii subforum itasaidia wale wanaobishania dini kupambana katika kajukwaa chao na kuacha kuvuruga topics muhimu zenye maslahi ya taifa.
 
Gud job JF Mgt. you make life changes.

if possible, include a 'media player technology' or any other movie or video player technology ambayo clips zote zinazonaswa zinaweza kuchezwa jamvini live sambamba na zinazorushwa kupitia youtube.

Ootherwise, you are really great thinkers! keep it affront, we live together.
 
Kazi nzuri wakuu, muonekano huu umetulia japo kasoro chache zilizoainishwa na wadau. Big up!
 
Mchango wangu ile sehemu ya jokes ibaki peke yake halafu udaku unaweza kuweka pamoja na celebrities news maana vinaendana, thanks mkuu kwa kazi nzuri mnazofanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom