Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana bado mdogo isitoshe ni mtoto wa shule unakuja kuomba msaada wa kutongozewa,halafu unadai anakupenda..sasa kama anakupenda unaomba ushauri wa nini??
Kesho tu mnaanza kuhongana ada ya shule...Wazazi kweli kazi tunayo.
hapana kaka sio zege
hakuna kupendana hapo mnataka kucheza kitoto toto
Itabidi amiri jeshi mtuu atangaze 'kutongoza' kama janga la kitaifa.
Sasa unakimbilia nini dogo?Ushauri wangu: kila siku asubuhi nenda kwao ukamsalimie. Baada ya miezi 6 atakukubali.nina miaka 20 mkuu
jaman si mpitiage na threads nyingine coz kuna nyingi tu humu kama yako au zinazoendana na yako, mnarudia rudia wee ah, mxiuuuuuuuuu.............
Mnafanya kila siku tunafundisha watu namna ya kutongoza , halaf watu wenyewe watoto, si ajab unamfundisha mtu kwenda kukatongoza katoto au kadogo kako ka form two huko kah.......................