Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Mama Ajiunga JF Kwa Jina La Beib Loveee
Baba Ajiunga Kwa Jina la Prezda wa kitaa
WOTE WAMEJIUNGA JF KWA SIRI NA HAWAKUWEKA AVATAR
mara mazoea yakaanza kukutana kwenye threads za MMU na Chit Chat
Sasa Siku Moja Baba Akaona Request *beib loveee wants to be your friend*
Mzee Akaconfirm fasta na kuzama *kuPM*
PM ilikua hivi:-
Prezda wakitaa: karibu mrembo....
Beib lovee: thanx mtanashati....
Prezda wakitaa: unaishi wapi?....
Beib lovee: SINZA kwa wajanja(kasema ukweli)
Prezda wakitaa: nice place swt.
Beib lovee: thanx.. Wewe unaishi wapi?
Prezda wakitaa: KINONDONI(kadanganya)
Beib lovee: unakaa kwa mapedejee?
Prezda wakitaa: haaa! haaaa! Kawaida tu mrembo....vp tunaweza tukakutana tukaongea zaidi mrembo?
Beib lovee: wewe tu me nipo free.......
Wakapanga siku ya kukutana,tabiri sasa kilichotokea walipokutana
Baba Ajiunga Kwa Jina la Prezda wa kitaa
WOTE WAMEJIUNGA JF KWA SIRI NA HAWAKUWEKA AVATAR
mara mazoea yakaanza kukutana kwenye threads za MMU na Chit Chat
Sasa Siku Moja Baba Akaona Request *beib loveee wants to be your friend*
Mzee Akaconfirm fasta na kuzama *kuPM*
PM ilikua hivi:-
Prezda wakitaa: karibu mrembo....
Beib lovee: thanx mtanashati....
Prezda wakitaa: unaishi wapi?....
Beib lovee: SINZA kwa wajanja(kasema ukweli)
Prezda wakitaa: nice place swt.
Beib lovee: thanx.. Wewe unaishi wapi?
Prezda wakitaa: KINONDONI(kadanganya)
Beib lovee: unakaa kwa mapedejee?
Prezda wakitaa: haaa! haaaa! Kawaida tu mrembo....vp tunaweza tukakutana tukaongea zaidi mrembo?
Beib lovee: wewe tu me nipo free.......
Wakapanga siku ya kukutana,tabiri sasa kilichotokea walipokutana