Jf ni noma

bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi
kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya
halafu mambo yanakuwa vululuvululu
 
bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi
kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya
halafu mambo yanakuwa vululuvululu
hapo hamkufanya makusudi ila bahati mbaya mkuu
 
Ngoma ni draw, aliyeuziwa cheni, kapewa cheni bandia, aliyelipa pesa naye kalipa pesa bandia!
 
Back
Top Bottom