Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Dec 18, 2011 Thread starter #81 THK DJAYZZ said: Yap ! It wonderful Click to expand... thanks mkuu
KANCHI JF-Expert Member Sep 3, 2011 1,533 230 Dec 18, 2011 #83 Hiyo ndoa inawezekana ikavunjika maan no peace again in love......
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Dec 18, 2011 Thread starter #84 Jaguar said: Mi lyk it,excellent! Click to expand... Jaguar thanks much mkuu
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Dec 18, 2011 Thread starter #85 KANCHI said: Hiyo ndoa inawezekana ikavunjika maan no peace again in love...... Click to expand... hata mimi nadhani ndoa imeshaingia matatani
KANCHI said: Hiyo ndoa inawezekana ikavunjika maan no peace again in love...... Click to expand... hata mimi nadhani ndoa imeshaingia matatani
Kabakabana JF-Expert Member Aug 5, 2011 5,551 1,160 Dec 18, 2011 #86 klorokwini said: Kama ni ya offer yoyote tu naskuma Click to expand... kweli ulevi noma
Pota JF-Expert Member Apr 8, 2011 2,031 760 Dec 19, 2011 #87 bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya halafu mambo yanakuwa vululuvululu
bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya halafu mambo yanakuwa vululuvululu
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Dec 19, 2011 Thread starter #88 Pota said: bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya halafu mambo yanakuwa vululuvululu Click to expand... hapo hamkufanya makusudi ila bahati mbaya mkuu
Pota said: bora nikamatwe ugoni......nakuwa walau nimefaidi kuliko hivi..... yaani nina hamu ya kumwona mrembo mpya halafu mambo yanakuwa vululuvululu Click to expand... hapo hamkufanya makusudi ila bahati mbaya mkuu
obsesd JF-Expert Member Nov 23, 2011 1,225 525 Dec 20, 2011 #89 io ndoa ilikuwa rejuvinated upyaa kwa kwel teh.
HorsePower JF-Expert Member Aug 22, 2008 3,612 2,566 Dec 20, 2011 #90 Ngoma ni draw, aliyeuziwa cheni, kapewa cheni bandia, aliyelipa pesa naye kalipa pesa bandia!