JF ..Msaada wenu mkubwa kimawazo unahitajika....

Mada hii imenisaidia sana kuthink maana nilikuwa empty kichwani juu ya biashara,mawazo ya wachangiaji ni mazuri mno na yanatia moyo sana hasa upande wa usiache kazi kwanza na uwe tayari ku kupata kutake risk katika biashara.Kuna vipaji vingi sana hapa nchini mwetu,unaweza ukafungua kampuni ya kushindanisha au kusearch wenye kipaji cha kuiga sauti za watu na wenye kuongea point ya za maana za kujenga jamii kama ilivyo Bongo Star Search vile,ukiweza hapo basi utafanikiwa siku zote mwanzo mgumu mwishowe mambo yatakuwa supa.I guess hii wazo ni zuri au mnasemaje wajameni?
 
FL1,
For most of the successful businesses, the business idea comes first even before the capital unless kama umeshinda bahati nasibu otherwise kutokana na kazi yako hiyo ya Purchasing Officer nilitarajia ungekuwa tayari unajua ni biashara gani inalipa kutokana na kazi yako ya manunuzi kila siku una deal na biashara tofauti tofauti na jinsi zinavyoendeshwa. Many purchasing offers I know ni watu wenye connection nyingi sana na wanaofahamu vyema mifumo ya biashara na jinsi inavyokwenda ni watu wanaocheza rafu sana pia kwenye kazi zao hasa wale walioajiliwa serikalini. Kununua vitu kwa bei mara 2 ama zaidi ya bei halisi kwao ni kitu cha kawaida sana.
Nilitarajia kwenye mada kama hii FL1 kutokana na kazi yako wewe ungekuwa mchangiaji tu, Otherwise hakuna biashara ambayo wote wanayoifanya wanafanikiwa ama kutokufanikiwa muhimu "do kind of business you think you are interested in yourself and best in" inawezekana kabisa kuna kitu unafikiria lakini hauna imani nacho,ushauri wangu go for it.

vitu ninavyonunua mie ni tofauti kabisa ndo maana nikaomba ushauri kwa wazoefu unajua mganga hajigangi
 
Good day to you all.. i salute

nimewaza na kuwazua hili naona ili nifanikiwe peke yangu siwezi
Nimechoka sana habari za kuajiriwa kuamka asubuhi na mapema kutoka nimechelewa nimefanya hivi kwa muda sasa ktk sekta fulani
Nataka kuacha kazi ndani ya miezi 6 au Mwaka ili niweze kujikita katika swala zima la biashara

Nisaidieni ni biashara gani nifanye ili niweze kufanikiwa pia faida na hasara zake nipeni mbinu wapendwa

i am totally feed up

FL1

FL1
1. usiaribu kuomba msaada wa kuacha kazi kwa mtu aliye ajiriwa!!!! if you ask 100 ppl. only one will advise you to quite your job. Seek advise from successfull business ppl and you will actually have a positive answer!

2.Am also suffering the same sickness! kila siku naamka asubuhi. nawahi kazini saa moja na nusu. natoka saa kumi na moja, nafika nyumbani saa moja niko hoi! nalala kidogo mpaka saa tatu. naamka napata msosi. nalala kuisubiri asubuhi niwahi kazini....

huu naona kama utumwa.
Unajua wengi vimishara vyetu vimeishia kwenye 1.5m. yaani 50,000 a day. Kuna wauza chips wanapata more than this in a day FL1. lakini umwambie m2 aache kazi aikose hiyo 50,000 a day. atakushangaa sana, tena sana.

Cha msingi ni wewe ujiangalie umejipangaje.

dont be reactive! be proactive
 
Mada hii imenisaidia sana kuthink maana nilikuwa empty kichwani juu ya biashara,mawazo ya wachangiaji ni mazuri mno na yanatia moyo sana hasa upande wa usiache kazi kwanza na uwe tayari ku kupata kutake risk katika biashara.Kuna vipaji vingi sana hapa nchini mwetu,unaweza ukafungua kampuni ya kushindanisha au kusearch wenye kipaji cha kuiga sauti za watu na wenye kuongea point ya za maana za kujenga jamii kama ilivyo Bongo Star Search vile,ukiweza hapo basi utafanikiwa siku zote mwanzo mgumu mwishowe mambo yatakuwa supa.I guess hii wazo ni zuri au mnasemaje wajameni?

eeeh hiyo idea yako labda tusaidieane
 
FL1
1. usiaribu kuomba msaada wa kuacha kazi kwa mtu aliye ajiriwa!!!! if you ask 100 ppl. only one will advise you to quite your job. Seek advise from successfull business ppl and you will actually have a positive answer!

2.Am also suffering the same sickness! kila siku naamka asubuhi. nawahi kazini saa moja na nusu. natoka saa kumi na moja, nafika nyumbani saa moja niko hoi! nalala kidogo mpaka saa tatu. naamka napata msosi. nalala kuisubiri asubuhi niwahi kazini....

huu naona kama utumwa.
Unajua wengi vimishara vyetu vimeishia kwenye 1.5m. yaani 50,000 a day. Kuna wauza chips wanapata more than this in a day FL1. lakini umwambie m2 aache kazi aikose hiyo 50,000 a day. atakushangaa sana, tena sana.

Cha msingi ni wewe ujiangalie umejipangaje.

dont be reactive! be proactive

thank you so very much ....
 
Kwa wale wanaotaka inspiration towards financial independence,..someni summary hiyo hapo juu ya Kitabu cha Rich Dad Poor dad nilichomshauri FL asome.

VC

niko google hapa napata hints za hiki kitabu ila madukani sijui kama nitakipata ,
nataka kuwa mfanya biashara mkubwa kama Oprah
 
Now u r talking FL.
THINK BIG MY SISTA!


VC ...
MIMI HICHO KITABU NIMEKISOMA NI KIZURI
LAKINI KITABU KIZURI ZAIDI NI "WHAT THEY DONT TEACH U AT HARVARD BUSSINESS SCHOOL" CHA MARK McCORMAK

HALAFU KUNA MTU ANAITWA DAN KENNEDY ANA KITABU CHAKE KIKALI SANA,.
 
niko google hapa napata hints za hiki kitabu ila madukani sijui kama nitakipata ,
nataka kuwa mfanya biashara mkubwa kama Oprah

Ni kweli Rich Dad Poor Dad na vitabu vyake vingine ni vizuri kukupa mwamko wa kufanya biashara....cha msingi ni biashara ipi......

nafikri hapahapa JF kuna link aliituma Mkuu asiyeonekana (correct me if im wrong).....audio version ya hivyo vitabu

VC ...
MIMI HICHO KITABU NIMEKISOMA NI KIZURI
LAKINI KITABU KIZURI ZAIDI NI "WHAT THEY DONT TEACH U AT HARVARD BUSSINESS SCHOOL" CHA MARK McCORMAK

HALAFU KUNA MTU ANAITWA DAN KENNEDY ANA KITABU CHAKE KIKALI SANA,.

Yes, hivyo vitabu hapo juu pia ni vizuri sana


FLD,

Biashara za kufanya Mkuu Malila na mwenzake mmoja walishatoa ushauri huo hapa JF......nafikri kuna mada moja mtu aliuliza angefanya biashara gani huku ana mtaji wa Millioni 10.......i-search hiyo mada kuna mawazo mazuri sana.......in short my opinion kutokana na ile mada biashara za ku-embark on yategemea sana na mahala ulipo au unapotaka kwenda kufanyia hiyo biashara..........

Kufuga e.g Ng'ombe wa Maziwa, Kuku nk
Kilimo (Miti, Mazao ya biashara e.g Mpunga, alizeti, Vitunguu nk, Matunda na mboga mboga).....lazima "utatoka" tu

usisahau kuangalia risks zinazoambatana na biashara hizo
 
mshkaji kama umechoka kazi kwa ajili ya kuwahi kuamka na kushauri usifanye biashara kwani kwenye biashara ni ni kugumu zaidi huto lala na kula pia kukawa tatizo watu wengi wamekimbilia biashara wakidhani ndio pakupumzikia lakini wameishia kufilisika, mtu wangu biashara si lelemama fikiri tena.
 
mshkaji kama umechoka kazi kwa ajili ya kuwahi kuamka na kushauri usifanye biashara kwani kwenye biashara ni ni kugumu zaidi huto lala na kula pia kukawa tatizo watu wengi wamekimbilia biashara wakidhani ndio pakupumzikia lakini wameishia kufilisika, mtu wangu biashara si lelemama fikiri tena.

i believe i can !!
thanks kwa ushauri wako
 
Swala zima la biashara mama lina mapana yake... cha msingi mi naona kikubwa cha kwanza ni kuangalia interest zako asikwambie mtu mtu ufanya kila anachopenda kwa ufasaha zaidi.. si maanishi usiombe msaada wa kimawazo ila kwa yote utakayopata fanya research kwa wale waliofanya na wanaofanya hiyo biashara husika utakayo ichagua.. sina utaalam katika maswala ya biashara lakini kwa bahati aina ya kazi unayofanya inakupa nafasi zaidi ya kufahamu mengi.. so chambua kwa kina kila kitu kuhusu biashara utakayoichagua kuanzia capital marketing, competition, strategies na challenges, na unaweza ukapata msaada zaidi kwa kusoam vijarida na article kuhusu maswala ya biashara... au kwa urahisi zaidi just GOOGLE and u r good to go

Gud day!

If you think you know all the Answers then you dont know all the questions yet!
 
Swala zima la biashara mama lina mapana yake... cha msingi mi naona kikubwa cha kwanza ni kuangalia interest zako asikwambie mtu mtu ufanya kila anachopenda kwa ufasaha zaidi.. si maanishi usiombe msaada wa kimawazo ila kwa yote utakayopata fanya research kwa wale waliofanya na wanaofanya hiyo biashara husika utakayo ichagua.. sina utaalam katika maswala ya biashara lakini kwa bahati aina ya kazi unayofanya inakupa nafasi zaidi ya kufahamu mengi.. so chambua kwa kina kila kitu kuhusu biashara utakayoichagua kuanzia capital marketing, competition, strategies na challenges, na unaweza ukapata msaada zaidi kwa kusoam vijarida na article kuhusu maswala ya biashara... au kwa urahisi zaidi just GOOGLE and u r good to go

Gud day!

If you think you know all the Answers then you dont know all the questions yet!

thanks kwa ushauri
 
Usisahau kutupatia analysis yako ya kile ulichoshauriwa ili nasi itusaidie kwenye ujasiriamali wetu! Respect!!!!!!
 
Back
Top Bottom