Nimeshindwa kabisa kulala wifi yangu... Hapa nakula snacks huku nacheza na PC hadi najionea huruma. Mwambie kakako arudi haraka, hiki kitanda kikubwa mno asipokuwepo.. hahaha!
huyo wa mbele kabisa ni cheusimangala, hapo kuna mwanajamiimoja, king'asti, nyamayao, afrodenzi na lizzy
hahahahah....mzee Mtambuzi, mwanao mpaka tunapfika hapo alikuwa ameshakula 50% ya mahari!!!Najua ulipoipata hii picha, umeikwapua kule kwenye blog yangu........LOL
Hapo, nilikuwa nashangaa Rejao kanipunja mahari ya mwanangu Cantalisia
Hizo chuchu za Keren :becky:
Wakiwa wametoka kujadili hoja nzito ya kukiua chama cha maarufu cha "Infidelity" tokana kanuni mpya zilizowekwa picha ya tume husika ya chama hicho. Hapo mbele ni kiongozi wao Kaizer, wakiwa wamefuatiwa huko nyuma mstari wa mbele na Teamo, Asprin, ODM, Fidel80, TIMING, The Boss, Bishanga, Madabwada, Ndahani, Kimey, RR , Baba_Enock, fazaa, Mr Rocky, The Finest, klorokwini, hashycool, PakaJimmy... wengine hapo hawatakiwi kutajwa. wapo Incognito mode... lol