tuassume ni heusimwite kwanza wife mitaa hii. Nataka nifahamu jinsia ya mgeni ndio nitatoa maamuzi!
ha ha haaa!! Nani kakwambia niko ngarenaro na wewe embu acha umbea wako...usitake kunipeperushia ndege wangu bure.
tuassume ni he
Tulikubaliana kuwa wageni wote wenye jinsia ya She wanapokelewa na mimi na wewe! kwani Young Master ni gani?
Mimi nipo Arusha...karibu sana pande hizi.
....wakati tunajua Young Master unaishi Ungalimited soko mjinga..asikuharibie kabisa huyo.....
halafu sijui kwa nini unanichenga.......hivi ni nini lakini......?
Nimekuchenga wapi tena mpendwa?
sasa kwa nini hatuonani.....au unaishi Naibormut......?
Preta,
Kazi unayo!...and it sounds a bit strange!
Yani we ndo unapewa jukumu la kutafuta eneo la makutano!!...waii!
halafu sijui kwa nini unanichenga.......hivi ni nini lakini......?
sasa kwa nini hatuonani.....au unaishi Naibormut......?
Ha ha haaaa!!!! You didnt look for me my lady. Kama unataka tuonane we niambie where and when.
Mkimalizana mtujulishe matokeo!Ha ha haaaa!!! bora atafute yeye...maana nikitafuta mimi nitampeleka Unga limited.
Mkimalizana mtujulishe matokeo!
Yaani nguvu sawa! SIO?...huh!Matokeo 0-0
Yaani nguvu sawa! SIO?...huh!
Jomba aunakubali matokeo hayo na mrembo kweli?
Mimi Masai bana, sikubali matokeo aina iyo....sheeeee!!!