Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Wakuu kwa hisani ya Wazazi wote wanaotaka kupeleka mabinti wao ktk mikoa ya Arusha na Moshi kujiunga na kidato cha kwanza 2024 tunaoma kujulishwa Shule nzuri ktk mikoa husika.
Shule inaweza kuwa ya mchanganyiko Boys and Girls.
Iwe private, ada isizidi milioni 3.
Natanguliza Shukrani.
Nawasilisha.
Shule inaweza kuwa ya mchanganyiko Boys and Girls.
Iwe private, ada isizidi milioni 3.
Natanguliza Shukrani.
Nawasilisha.