Sio kila king'aacho ni dhahabu,usifikiri kila anayetoka ulaya ni tajiri.
Sio kila king'aacho ni dhahabu,usifikiri kila anayetoka ulaya ni tajiri.
ahaaaa mkuu acha izo bwanaSio kila king'aacho ni dhahabu,usifikiri kila anayetoka ulaya ni tajiri.
ni kweli mkuu jf ni zaidi ya family mpm membe mmoja anaitwa PakaJimmy atakupa maelekezo.Tangu nimeijua Jf na kuamua kujiunga nimefaidika na mengi,mojawapo ni kujuwa kwa undani siasa za Tanzania ambazo zamani nilikuwa nazisikia midomoni mwa watu wachache,sasa Jf imeweka kila kitu wazi na kinajadiliwa na wataalam wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja hapa Jf
baada ya kuishi nje ya nchi yangu kwa miaka 17 nimeamua mwaka huu nije nitembee kidogo Tanzania,lakini sipendelei kabisa kwenda Dar bali natamani niende Arusha na Moshi na nitakuwa pale kwa mwezi mmoja
ningependa sana sana kujuana na wana Jf walioko mitaa hiyo,ni vema tukajuana kama dada mmoja aliyeleta shukrani zake hapa jana baada ya kufiwa na mama yake akidai Jf ni zaidi ya family
natanguliza shukrani zangu kwenu Wakuu
huyu mgeni ni wa moshi nitampokea mimiTulikubaliana kuwa wageni wote wenye jinsia ya She wanapokelewa na mimi na wewe! kwani Young Master ni gani?
huyu mgeni ni wa moshi nitampokea mimi
nadhani ni he...anakuja kunipa pole tafadhalini muacheni mgeni wanguSorr, nilikuwa namaanisha Delegate ni jinsia gani......... siyo Young Master!
tatizo sweetlady anawamezea wageni wenye jinsia ya He.
Halafu we huna kibali cha kupokea wageni hebu kaa pembeni yangu upande wa kuume