Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,883
- 25,272
😂😂😂 nimecheka km chizii, khaaah
Coca, usicheke ndio hali halisi ya JF. 😊
😂😂😂 nimecheka km chizii, khaaah
Sijui nacheka nini, ila nacheka sana wallah.Coca, usicheke ndio hali halisi ya JF. 😊
Bwashee ila dogo sikutaka aingie kwenye uzi kama main point 👉🤣 hili sijui limetoaje bwashee 😃Bwashee unajua huyo dogo anachomiliki ni hiyo broken english yake tu,
Hua nataka nimwambie aandike tu Kiswahili ila naona acha tu tumuenjoy.
Tumtumie tu kama Pilipili kwenye msosi.Bwashee ila dogo sikutaka aingie kwenye uzi kama main point 👉🤣 hili sijui limetoaje bwashee 😃
Unaweza kukuta hata min -me wala hanywi pombe,ni kiongozi fulani wa kidini ambaye siku asipokwenda ibadani basi siku hiyo ibada haifanyiki.Humu najaribu sana kujifanya muhuni, kumbe ni Mzee mmoja wa kanisa la kilokole hapa Migori- Iringa.
Ukiniamini umekwesha 😎
Mm ndio nataka kusogea eneo la tukio 🍻🍻🍻🍻.Coca bia zimeisha unanipokeaje hapa🤣
Nilikuwa nakuamsha kutoka usingizini kapuku mkubwa wewe. Ukome kuwadanganya vijana humu.Bwashee sisemi chochote kijana kanipiga kwenye mshono , kadai natamba na sina chochote 🤔
Walete kati🤣🍺🍺
Au unaweza kukuta Busu la Kenge ni mwalimu wa nidhamu kwenye ile shule inayomikiwa na Lutheran diocese ya kaskazini.Unaweza kukuta hata min -me wala hanywi pombe,ni kiongozi fulani wa kidini ambaye siku asipokwenda ibadani basi siku hiyo ibada haitafanyika.
Broken English na watu wanaelewa? we mzee una nongwa sana.Bwashee unajua huyo dogo anachomiliki ni hiyo broken english yake tu,
Hua nataka nimwambie aandike tu Kiswahili ila naona acha tu tumuenjoy.
Umejuaje kama watu wanaelewa?Broken English na watu wanaelewa? we mzee una nongwa sana.
Tena sio broken English ni broke Kiswanglish
Bwashee unajua hawa watoto waliopigwa na maisha hua wanajiaminisha kua kila mtu anaishi maisha kama wao,🤣🤣 hapana bwashee, ila dogo kadai natamba napesa ila sina 😃😃 huu ududu wa bia hapa nakunywa ,sijui nimepata wapi🤣
Dogo the Icebreaker mtu wangu inakuwaje pande za huko?JF unapokelewa kama unavyokuja.
Habari zangu muulize mamako anazijua,