JF imenipatia binti.

ERoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
52,504
Reaction score
119,332
Habari wanaJF,
Mda umepita tangu nijitojeze kutafuta rafiki wa kike kupitia hii forum. Bahati nzuri kwangu, naamini nimempata ambaye Mungu aliniandalia. Tumeanza taratibu sana na urafiki wetu unaendelea vizuri sana.

Naamini sana urafiki wetu utaishia kwenye ndoa takatifu. Wale wanaosema hapa hamna, jaribuni tena, ombeni na Mungu atawapa kwa kadri ya mapenzi yake. Asanteni kwa mlionitakia heri.
 

Mkuu kumbe inawezekana?
 
weka picha basi tumuone..
 
copy kwa wahanga wote waliotendwa humu ndani.
 

Hongereni sana kwa kupatana. Nawatakia kila lililo jema ktk harakat zenu za kuelekea uchumba na ndoa
 
safi sana all the best..... Ngoja na mimi nikaweke tangazo pia
 
Hongereni sana na kila la heri katika kutimiza ndoto yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…