Samahani sikuona kuwa kulikuwa na thread hii. Nilianzisha thread ambayo ninategemea kuanza kuichangia kuhusu mkataba huu kuannzia jumatatu ijayo nikisharudi nyumbani. kwa vile mmeshaanza, basi nitakuja kutoa mchangu hapa hapa.
4.7 The company shall be allowed to deduct 80% of capital expenditure in the year incurred, thereafter at 50% per annum on declining balance method, provided that the Government shall have made legislative changes to ensure that this provision is applicable under the laws of Tanzania
Wanachama wenzangu wa JF,
Naanza kwa kuwapa hongera kemkem kutokana na jinsi mnavyomwaga ukweli wenye kuuma pande zote. Baada ya hapo nawaombeni samahani sana kwa kutoweka bila kuaga; wakati mwingine mihangaiko ya maisha haitabiriki. Nimefurahi kukuta mijadala kemkem kibao inaendelea hapa kijiweni. Bado nipo hapa Dar nilipokuja kwa muda mfupi kwa mambo ya kifamilia, jana nilipata bahati ya kukata kinywaji na rafiki zangu wachache ambao wana nyadhifa kubwa serikalini. Nilishangaa sana kugundua kuwa wanaiogopa sana Jambo Forum to death. Wanasema inatoa vijembe vikali ambavyo wakati mwingine huwa vinahusu mambo waliyoshiriki katika kufanyia maamuzi. Nilichojifunza ni kuwa vijembe vya hapa kumbe kweli vinawafundisha adabu baadhi ya vigogo wetu.
Kwa hapa mtaani nimefanikiwa kupata nakala ya mkataba wa Buzwagi, na kweli kile ni kichekesho kabisa wala siyo mkataba unaweza kuwa umeingiwa na serikali ya watu wenye akili zao. Inawezekana mmekisha ujadili mkataba huo hapa , lakini nitarudi na uchambuzi wangu kipengele kwa kipengele kupitia articles zote 18 ambazo nyingi zinaweka masharti ya kuinufaisha kampuni tu wala wala hakuna masharti ya kuinufaisha serikali. La muhimu ni kutambua kuwa mkataba ule siyo binding kabisa na unaweza kupingwa mahakamani kwa vile hauna "Seal ya Serikali ya Tanzania," na wala hakuna shahidi independent aliyethibistha kuwa ulisainiwa kihalali bila kulazimishana kwa vitisho. Mtu yeyote anaweza kuandika document kama hiyo na kudai kuwa ni mkataba wa serikali.
provided that the Government shall have made legislative changes to ensure that this provision is applicable under the laws of Tanzania
Samahani sikuona kuwa kulikuwa na thread hii. Nilianzisha thread ambayo ninategemea kuanza kuichangia kuhusu mkataba huu kuannzia jumatatu ijayo nikisharudi nyumbani. kwa vile mmeshaanza, basi nitakuja kutoa mchangu hapa hapa.
Sasa kama huu sio uhujumu uchumi ni nini? Huyu waziri siyo tu kwamba anastahili kufukuzwa kazi. Anastahili kufungwa jela.
Wanachama wenzangu wa JF,
Naanza kwa kuwapa hongera kemkem kutokana na jinsi mnavyomwaga ukweli wenye kuuma pande zote. Baada ya hapo nawaombeni samahani sana kwa kutoweka bila kuaga; wakati mwingine mihangaiko ya maisha haitabiriki. Nimefurahi kukuta mijadala kemkem kibao inaendelea hapa kijiweni. Bado nipo hapa Dar nilipokuja kwa muda mfupi kwa mambo ya kifamilia, jana nilipata bahati ya kukata kinywaji na rafiki zangu wachache ambao wana nyadhifa kubwa serikalini. Nilishangaa sana kugundua kuwa wanaiogopa sana Jambo Forum to death. Wanasema inatoa vijembe vikali ambavyo wakati mwingine huwa vinahusu mambo waliyoshiriki katika kufanyia maamuzi. Nilichojifunza ni kuwa vijembe vya hapa kumbe kweli vinawafundisha adabu baadhi ya vihgogo wetu.
Kwa hapa mtaani nimefanikiwa kupata nakala ya mkataba wa Buzwagi, na kweli kile ni kichekesho kabisa wala siyo mkataba unaweza kuwa umeingiwa na serikali ya watu wenye akili zao. Inawezekana mmekisha ujadili mkataba huo hapa , lakini nitarudi na uchambuzi wangu kipengele kwa kipengele kupitia articles zote 18 ambazo nyingi zinaweka masharti ya kuinufaisha kampuni tu wala wala hakuna masharti ya kuinufaisha serikali. La muhimu ni kutambua kuwa mkataba ule siyo binding kabisa na unaweza kupingwa mahakamani kwa vile hauna "Seal ya Serikali ya Tanzania," na wala hakuna shahidi independent aliyethibistha kuwa ulisainiwa kihalali bila kulazimishana kwa vitisho. Mtu yeyote anaweza kuandika document kama hiyo na kudai kuwa ni mkataba wa serikali.
Hayo mambo ya empowerment fund hata kwenye uanzishwaji wa PSRC wakati wa privatisation wa SUs yalikuwapo. Nia ya fund hiyo ilikuwa ni kuwawezesha wazawa (walalahoi?) kuyanunua mashirika yaliyokuwa yakiuzwa.
Kisichoeleweka ni kuwa hiyo fund ilianzishwa au la; na kama ilianzishwa, ni kiasi gani kilikusanywa; na ni wazawa wangapi walifaidika nazo; majina yao ni kina nani na vilevile, kiasi ambacho hakijatumika na kitatumika vipi.
Nadhani ni uvivu wa kusoma na kufuatilia mambo ya nchi kwa undani na kwa uzalendo, kulisema taifa lako kwa mabaya sio jambo la kusheherekea, mbona Busha anaboronga vita ya Iraq lakini wananchi wake wako naye karibu;
Nadhani ni uvivu wa kusoma na kufuatilia mambo ya nchi kwa undani na kwa uzalendo, kulisema taifa lako kwa mabaya sio jambo la kusheherekea, mbona Busha anaboronga vita ya Iraq lakini wananchi wake wako naye karibu;
Tujaribu kuwa wazalendo kwa kutendea taifa letu haki kwa kusema mambo kwa research zaidi,
kumbuka munayoandika hapa yatakaa kwenye computer za watu wengi wa maitaifa mengi, miaka na miaka... let no think you are chating with kilitime and it will end there!
Hili jambo nalifananisha na kukata tawi ulilokalia!!! Sisi ni Watanzania na Tutaendea kuwa watanzania aidha chini ya waziri X, au Waziri Y, au Waziri Z, au etc... so let be fair to our nation,
Pia anastahili achapwe viboko 100 hadharani akiwa makalio matupu!