sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,024
- 638
Mtoto wa Mkulima kajikuta anatetea uovu na sasa amewekwa katika kichinjio ili awe mbuzi wa kafara.
Ukisoma unaona wazi kulikuwa na mawasiliano ya karibu kati ya wizara na Ikulu.
Ikulu ikasema malipo yafanywe. Kumbukeni kuwa hii ni baadaya kashfa ya Richmond ambayo akina IPTL walitajwa sana, hivyo Ikulu ilitakiwa ijiridhishe kama deal ni nzuri.
Pili, mradi mkubwa kama huo unajadiliwa ndani ya baraza la mawaziri, mwenyekiti wa baraza ndiyo mkuu wa Ikulu.
Tatu, malipo makubwa kama hayo hufanyika kwa Ikulu kuridhia,leo imeridhia walipwe kama alivyoshauri Werema
Nne,Rais aliwahi kuwa waziri wa Nishati. Masuala ya IPTLanayafahamu vema.
Pia aliwahi kuwa waziri wa fedha, masuala ya fedha anayafahamu vema ikiwemo utaratibu wa BOT.
Leo tukiambiwa ni akina Pinda, aaaa! Ikulu imehusika
Tusichokijua ni namna singa singa alivyoingia Ikulu,tunachojua ni kuwa kaingia Ikulu, kaishirikisha katika escrow.
Ikulu inahusika!Sasa tunajua Ikulu na Escrow ni pacha,
Hata wakipelekwa India Apollo hawatenganishwi. Wameungana moyo. Ikulu na Escrow ni dugu moja. Tunajua Ikulu imo
sasa wewe ulitaka ikulu wakatae kulipa pesa za IPTL kwa sababu gani ikiwa walitoa huduma kwani umeme wa IPTL hatukutumia? na mahakama iliruhusu fedha zilipwe