Ninalojua ni kuwa ule utetezi wa awali kuwa Ikulu haikuwa na habari haukuwa na ukweli wowote. Ikulu are in it toka utosini hadi miguuni...they are actually swimming in it! Ningeshangaa kweli kweli kama bilioni 400 zingeweza kuchotwa hivi hivi bila mkono wa Ikulu, that would have been the nineth wonder of the world! Na maadam Ikullu inaguswa kuna watu watavunja rekodi ya kupost JF! Mimi nawapa tu ushauri moja, subirini! Niliponong'onezwa kuwa hata vyombo vya usalama vimewekwa kwenye hali ya tahadhari nikakumbuka woga wa mtoto wa mkulima kabla hajajua kwa nini yuko pale, mafisadi wakichukuliwa hatua, nchi itayumba!