FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
msamehe amekosa kitu inaitwa "LOGIC"
Logic mmekosa nyie, naona mnhaororoja na kubwabwaja mkiambiwa wekeni basi ushahidi mnaleta vitu vya kijinga kabisa.
Silioni jipya, mngoje tu, ripoti ya Zitto Kabwe, muanze kuhaha.
Kama hamjarudia kusema Zitto Kabwe ni CCM, tutaona hapa.