Dah...jama wamekosea sana, hawajajua bado kuwa siku hizi akina 'The book of Eli' wapo kibao.
Waliweza kumzima Invisible kwenye ile issue ya 'The General and the trillions' nadhani alikubali kuzimika si kwa vitisho, bali kwa aliyoonyeshwa ambayo kiumbe yeyote angekua mdogo tu. Ila kwa hili sidhani.
Wewe nae Una hangaika kwa haraka zako tuuu! Soma lengo la huu Uzi!
Vuta subira yamebakia masaa machache sana kufika Jumatatu siku ambayo ripoti itawekwa hadharani rasmi.
Karibu B7 wote wamelowana ukiacha wachache waliokatika mshipa wa aibu.Sio ff tu wale wote wa lumumba hawatii mguu humu.
Jitafakarini kwanini asilimia kubwa sana yamafisadi wanatokea Kidumu na nyie mnashangilia
Hivi hamna mwenye full report atusaidie sie maskni?
Ila ni mbaya sana kama unasubiri mpaka utekenywe ndiyo utoe maamuzi. Kimsingi Rais amekosa ama kupoteza hadhi ya kuitwa RAIS na anazidi kulidhalilisha taifa letu na taasisi ya 'URAIS' kwa ujumla.
Nyerere alikuwa anatenda kwa kuzingatia KATIBA YA NCHI ila huyu wa sasa ni tofauti kabisa na haijulikani anaongoza nchi kwa msingi upi.
aliyekuroga amekufa siyo bure
Unajuwa kuwa Lowassa, huyu ambae mbaya lei ndio alipewa jukumu hilo la kuichunguza meremeta? jikumbushe, au ulikuwa bado mduchu?
- Lowassa Kuchunguza ufisadi Meremeta