JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

wafadhili wale mnaowaomba omba are watching every step

usidhani ni rahisi kwa J.K

Ukiona mambo kama haya yanatokea ujuwe yana baraka zote za Rais.

Tanzania unaijuwa lakini au unaisikia tu?

Umesahau Nyerere aliposema yeye ni dikteta na katiba ndiyo inayompa udikteta? unafikiri sasa hivi inatumika katiba ipi? si hiyo hiyo? Rais ana uwezo wa chochote Tanzania hii kwa katiba tuliyonayo, kaa ukijuwa hilo.
 
kazi ya jeshi ni nini endapo wizi mkubwa unafanyika na hata wananchi kukosa huduma mihumu....?

kwanini JWTZ Wasitangaze kuchukua nchi au hadi vita itokee?
 
kazi ya jeshi ni nini endapo wizi mkubwa unafanyika na hata wananchi kukosa huduma mihumu....?

kwanini JWTZ Wasitangaze kuchukua nchi au hadi vita itokee?

kazi ya jeshi kulinda mipaka ya nchi.kama una hamu kutaliwa kijeshi hamia misri
 
Saga la Escrow halina tofauti na series ya Boardwalk Empire...ENock Thompson huwezi mshinda katika game yake mwenyewe.
You can't beat CCM katika game yake...unapokuwa exited na cliff hanged wao wana-twist story na Nock Thompson is out of trap though there will be madhara ya vita kwa baadhi ya scape goats.
 
Heee wewe unajua maana ya huo mkongo wa taifa au naww ndi GT wa JF? Unajua system ya mawasiliano ya internet? Zantel unajua wanamiliki nn?
Unajifanya unajua kumbe wizi tu,
Sasa kinachoshindakana ni nini, termination ya access ya nchi kwenye internet inawezekana tena within a second. Wameweza kwenda kuumua mgimwa south africa, kumwekea sumu Nimrod mkono watashindwa kubadili single digit kupoteza access ya internet na mawasiliano mengibe nchini?

Kama unafikiri GT ni kufikiri only positivity kuhusu ufisadi huu ur wrong and ur st.upid. tumbili mkuvwa uliyetumwa mjini. Fyuuuuuuu
 
If you want to shoot; shoot dont talk.

Tuco-Bath1-500x215.png

Ingekuwa vizuri kama ungeweka makarabasha tujisomee wenyewe bwana Mod.

A quote by Tuco from the movie known as The good, the bad and the ugly.
Kweli kabisa.
 
Dah...jama wamekosea sana, hawajajua bado kuwa siku hizi akina 'The book of Eli' wapo kibao.

Waliweza kumzima Invisible kwenye ile issue ya 'The General and the trillions' nadhani alikubali kuzimika si kwa vitisho, bali kwa aliyoonyeshwa ambayo kiumbe yeyote angekua mdogo tu. Ila kwa hili sidhani.
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mambo kama haya yanatokea ujuwe yana baraka zote za Rais.

Tanzania unaijuwa lakini au unaisikia tu?

Umeshau Nyerere aliposema yeye ni dikteta na katiba ndiyo inayompa udikteta? unafikiri sasa hivi inatumika katiba ipi? si hiyo hiyo? Rais ana uwezo wa chochote Tanzania hii kwa katiba tuliyonayo, kaa ukijuwa hilo.

Sasa kama yana baraka za Rais kinamshinda nini kufanya maamuzi magumu mara moja tukamaliza hii sintofaham? Kwa hiyo unataka tuamini huko USA kaenda ili awaache walio chini yake (watoto) waparurane utadhani hakuna baba mwenye nyumba?
 
Ukiona mambo kama haya yanatokea ujuwe yana baraka zote za Rais.

Tanzania unaijuwa lakini au unaisikia tu?

Umeshau Nyerere aliposema yeye ni dikteta na katiba ndiyo inayompa udikteta? unafikiri sasa hivi inatumika katiba ipi? si hiyo hiyo? Rais ana uwezo wa chochote Tanzania hii kwa katiba tuliyonayo, kaa ukijuwa hilo.

m!mmh come again! did I missed something??

Wizi wote huu una baraka za ...aaaand is that you FF??
 
Hii sio yenyewe sii wamesema ni ukurasa wa 56,57,58. Sasa mbona huu ni wa 14 na 24!!. Wapi na wapi?? Au nielewesheni kama nimekosea.
 
Humu Jf hakuna mwenye report hiyoooooo,


Hutaki unaacha.

hujaelewa dhumuni la huu Uzi kabisa! Huu uzi una lengo la kuweka tahadhari tuu kuwa taarifa tunayo hivyo wasifanye uchakachuzi! lengo ni kuiacha kamati ifanye kazi yake na isome report tuone kama itakuwa imechakachuliwa itawekwa!
 
Tatizo langu katika hii issue ya ESCROW, tunaweka nguvu kubwa kutaka wawajibike wanasiasa waliogawana bakhshish ya 30% kupitia VIPEM lakini tumesahau PAP ameondoka na 70% na kimya!

Kama kuna uhalifu hapa watu wawekwe ndani isiwe habari ya washindani wa kisiasa ndani ya ccm kutaka kumalizana. Hata wizi wa EPA kuna watu waliwekwa ndani na kesi zipo!
 
Back
Top Bottom