JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

Kijana mbona unakurupuka, na wewe umeingia mkenge kwa uzushi wa mitaani kuwa ripoti eti imenyofolewa kurasa?

Hizo zilizowekwa hapa ni nini?

Na sijaona chochote cha kuonesha wizi wowote kati ya hizi kurasa zilizowekwa hapa.

Nashindwa hata kuwafikiria mkoje, yaani ni zaidi ya misukule.
Sijui kama usiku wa leo ulipatiwa haki yako vizuri...umeelewa lengo la Invisible kuleta huu uzi..

Unakurupuka na majanaba yako unakuja kuhorojoka hapa..

Pita kuleeee...shwain wewe
 
Last edited by a moderator:
Tuliza papa hilo, wajanja wa ccm wapo kwenye hiyo list.......wewe mtoka povu kazi yako ni kushabikia wenzio watengeneze neema zao.

Kiko wapi? kurasa "zilizonyofolewa" si hizo hapo zimewekwa? zina nini zaidi?

Subiri kijana upate ripoti kamili. Usiwe na munkar.
 
Ebwana nawasihi wazalendo kina tumbili,baboon,sokwe,manyani tuingie kwenye mitambo kutafuta report ya ujenzi wa bomba la gesi la mtwara kama 321b ni fedha ya ugoro,basi hiyo ya exim itakuwa hatari.
 
Msomw vizuri Invisible ameandika maneno ya busara wacha kukurupuka na kushutumu watu wakati hauna ushahidi.
Invisible ameandika "asionewe mtu wala asilindwe mtu".

Mpaka sasa naona makurupuka na kuonea watu kuwaita ni wezi ilhali hizi kurasa chache zzilizowekwa humu hakuna implication yoyote ya huo wizi? kulikoni?

Nilisema, ripoti ikitoka watu watabadili nyimbo na bado nnaendelea kusema hivyo hivyo.
Watu tunayoripoti....Ikitoka wapi...?
 
Last edited by a moderator:
Invisible nakushangaa unaposema "taarifa za kuanza kunyofolewa kurasa za ripoti hii", unajishusha hadhi yako. Ripoti za mitaani kuchomolewa kurasa wewe au mwingine yeyote wa karne hii zinamstuwa?

Ripoti kamili na rasmi zipo, na wala hizo za mitaani zisikufanye ukakurupuka. Ngoja Zitto aziwasilishe ka mujibu wa kanuni na sheia za bunge, kama zitakuwa mbadala na zile za CG na PCCB hapo ndipo utakuwa na la kusema, kwa sasa chunga hadhi yako usiingizwe mkenge ukawa biased.

Tuliza kisabengo ajuza wewe...
 
Last edited by a moderator:
Sijui kama usiku wa leo ulipatiwa haki yako vizuri...umeelewa lengo la Invisible kuleta huu uzi..

Unakurupuka na majanaba yako unakuja kuhorojoka hapa..

Pita kuleeee...shwain wewe

Naona sasa unaanza matusi bila mpango.

Lengo la invisible ni kuwajulishaa kuwa ripoti kamili ipo, nini zaidi? nyie mnafata ripoti za mitaani eti "zimenyofolewa", nani aliyerusha huo uongo? kituo hicho hicho cha dalali?

Jiulizeni, walinyofoa na kwa CAG? walinyofoa na PCCB? walinyofoa na kwa Zitto.

Hebu fikirini japo kiduchu, msiwe zaidi ya misukule.
 
Wamatumbi wameamka sasa naona fujo kwenye huu uzi zimeanza...
 
Naona sasa unaanza matusi bila mpango.

Lengo la invisible ni kuwajulishaa kuwa ripoti kamili ipo, nini zaidi? nyie mnafata ripoti za mitaani eti "zimenyofolewa", nani aliyerusha huo uongo? kituo hicho hicho cha dalali?

Jiulizeni, walinyofoa na kwa CAG? walinyofoa na PCCB? walinyofoa na kwa Zitto.

Hebu fikirini japo kiduchu, msiwe zaidi ya misukule.

Unajua lengo la mafisadi kuchomoa kurasa hizo..??
 
Kiko wapi? kurasa "zilizonyofolewa" si hizo hapo zimewekwa? zina nini zaidi?

Subiri kijana upate ripoti kamili. Usiwe na munkar.

Nakwambia tena wewe uwezo wako unaishia kwenye kutetea chama na kupayuka....ili kuwatengenezea neema wajanja wazidi kupiga pesa.

Wenye chama chao wapo kwenye mgao, we umo?
 
Nakwambia tena wewe uwezo wako unaishia kwenye kutetea chama na kupayuka....ili kuwatengenezea neema wajanja wazidi kupiga pesa.

Wenye chama chao wapo kwenye mgao, we umo?

Kurasa hizo hapo juu, zina nini zaidi? sasa subiri ripoti kamili, ndio uanze nyimbo nyingine. Hii ime-flop.

Au upo disappointed?
 


Tusiposimama imara kutetea nchi yetu kwa kufichua maovu ipasavyo, nchi yetu itaendelea kuwa nchi ya hovyo

Asante Invisible kwa mwanzo huu
 
Back
Top Bottom