FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
kwa nini tusiandamane kwenda JWTZ-UPANGA?
Kwa lipi zaidi? mmetaka kurasa zilizonyofolewa, hizo hapo zimeletwa, kuna kipi zaidi hapo?
Anza maandamno ule virungu, unawajua FFU lakini au unawasikia tu?