Jf Couples (New Version)

Jf Couples (New Version)

DA uko wapi.
Nimejiiba kutoka kwa Mama Tuli nakuja kwako huonekani bana
Au ndo ...........
 
Mkakati upi b52 ana taarifa na huo mtoko?
Mtoko wa akina mama hauna madhara....
Mwanamke anatakiwa apate nafasi ya kubadilishana mawazo na akina mama wenzake...So bibie kuwa huru....Ila usisahau kuwahi twende site
 
Husband anafahamu nipo nae hapa, amenipa ruhusa.. Ni mkakati mzuri tu shemeji wala usiwe na wasi.
Bby usijali....
SL namuamini sana najua mtakuwa salama.....
We jiandae ila ujitahidi kuwahi twende tukamuone mzee Mushi anaumwa halafu tupite na kwenye ile kitu....
 
Asante maziwa mgando kwa kunitetea, Erick gonga like hapa badala yangu, mie wajua ni wa via mchina siku zote!

Wanatafuta kunichonganisha na nitty wangu ila hawataweza!
Dah nimegonga LIKE mara mbili kumbe ya pili nime UNLIKE.....Lol ni kama nime Debit then nika Credit the same amount ngoma ikawa 0.....Hahahaaaa
Naigonga tena....
 
Paw? hizi habari mnazitoa wapi? kweli hiyo couple inastahili "mmmhhh???"
 
Ulizidi kuturingishia! Ukitamka maneno 10, tisa unamtaja Eliza lol.

We sweetie wewe nshakwambia,never mention that name Eliza wa Tegeta mbele ya uso wangu again,amenizalilisha! of all ze pipo hicho kibabu mwanakijiji? Si bora angebebana na yanki kama invisibo?
 
Waooo! Bora umekuja asali wa moyo wangu...

I love you too honey.,..


Najua and naelewa kuwa huwezi kuwa mlevi kama Bishanga,...


Mwaaaaaah!
Danganyaneni,SL anamuuzia nitts zaabu feki na nitts analipa dola feki,ndo zenu....
 
Back
Top Bottom