Amyner ni shemeji yangu sijawahi kuwa na mahusiano naye kuwa na adabu usitake kuvunja ndoa za watu sasa hivi
Nitty alafu shangaa mgeni huyu Mtindi alivyoshupaa na kiherehere ?
Huyu kama atakua ni binti basi nna hakika primary skuli alishatoa pregy hata mbili, na hakupata hakika waliompregy ni nani na nani ! Kwani Mwl mkuu, Asst mkuu, Class ticha, Kiranja mkuu wote hin'haa mng'wenyo !
Nilimwambia unamtafuta sana ndio mana kaja huku ila naona wapambe wanachonga sana juu yetu,..Ah.. Tajiri la Kihaya nalo ni mcharuko?
Haiwezekani hata kidogo...! Tutaanza kunena kwa lugha zetu,muda si mrefu na nimemuona Nitty mahali..
Hii ya kusubiriana ahera nimeipenda!hata kifo kikitutengania......tutasubiriana ahera.....tuendelee.......
Wewe twende kule tukacheze "kidali pooo" au nawewe umeishiwa voko?hata kama mgeni nisiseme jamani??
Basi mtanitenga sana hapa lol
hata kama mgeni nisiseme jamani??
Basi mtanitenga sana hapa lol
Nilimwambia unamtafuta sana ndio mana kaja huku ila naona wapambe wanachonga sana juu yetu,..
Hawapendi kuona meli yetu na nitty ikielea, wanafanya juu chini waizamishe! Haswa Erick na huyu maziwa mtindi...
Wewe twende kule tukacheze "kidali pooo" au nawewe umeishiwa voko?
Sasa usiuweke! basi....................?nina mistari mikali kuliko Fid Q, nina cash kuliko Bill G.
Hii ya kusubiriana ahera nimeipenda!
@Nitonye darling na sie tuige mfano wa preta na mtu chake wanapendana kwa dhati na hawawapi wapambe nafasi...
Besti, nakutafuta sana kesho cancel plan zote except kama ni za wewe na shem, otherwise tukutane nina bonge la mkakati!
hata kama mgeni nisiseme jamani??
Basi mtanitenga sana hapa lol
Usijali Amy, wacha nimwulize shemeji ako nitty kama hatutatoka then ntakujulisha mwaya!Besti, nakutafuta sana kesho cancel plan zote except kama ni za wewe na shem, otherwise tukutane nina bonge la mkakati!
Thanks barafu wa moyo!Honey hilo ondoa shaka moyoni mwangu umefurika nimpate nani mwingine zaidi ya Sweetylady.
Ndio hivyo preta na sie tumeamua mpaka kiama kitutenganishe...nyie tu na roho zenu......sisi mpaka kiama kitutenganishe......
Mkakati upi b52 ana taarifa na huo mtoko?
Karibu mgeni,nafarijika na uwepo wako!