Jf Couples (New Version)

Jf Couples (New Version)

I AM HEREBY DECLARING ZIS USEFUL THREAD ZE THREAD OF ZE MONTH March 2012!!!
Makofi kwa kwa kwa kwa kwa.........kwa kapo zote nawatakieni mapenzi mema , zaeni watoto kedekede ili hatimae jf tufungue kindergarten ya kwetu wenyewe!

Asante sana na kwa niaba ya my husband. Kedekede ni wangapi vile?inawezekana sisi tumeshapita hapo
 
aisee kuruka geti na kuzamia sherehe kazi kweli.
Afande mkali huyo.

Kiliiiii liiiii liiiiiiii,
Well come back my dia X-mke mwenza,
Nilikumissije!
Ila nilikuwa nafarijika kwa uwepo wako wa namna ile lol!
 
Paw + King'asti (thou nimeona Memo nae kamshadadia wifi yangu; ngoja nimnyang'anye ile cigar inayompa maujanja!)
Russian Roulette + Invisible (Utanisamehe usinirushie makombora nimesikia hii rumor kwa Golden Mpolee, hapa Smile awe mpole)
Alter hivi unaweza kupost habari ambayo source ni Golden Mpoleee na Smile? hahahaha. (Smile, no offense). Nani ana habari ya GM? Hii thread ange hit vibaya!
 
Alter hivi unaweza kupost habari ambayo source ni Golden Mpoleee na Smile? hahahaha. (Smile, no offense). Nani ana habari ya GM? Hii thread ange hit vibaya!


hapo chacha! lol... I miss the gal, nilidhani amerudi bana, nimekuta threads zake zimepandishwa nikasema the gal is in the house..... Kumbe Watu wamemumiso. Last time I heard anaenda shule na yahitaji attention yake yote...lol

What are we doing today?:lock1:
 
mmmmmhh.....hii thread imeyoyoma!!!
Kweli tanesco wamenikosesha mengi dah........!!!!
 
aisee kuruka geti na kuzamia sherehe kazi kweli.
Afande mkali huyo.
Aiseee!
Nimeshalijua hilo,kuna mageti mengine huwa sisubutu hata kuyakaribia maana maafande wa huko ni noma,
Japo maafande wa mageti yote hata hawasomeki siku hizi,nikupita mwendo wa kunyata tu maana hatuijui siku wala saa!!
 
Dah.........alafu ukiwaga busy na Rejao wewe!!.............no wonder hata jana hujapokea simu yangu!
Hahaha hhahah,
Mwanakwetu nimeshikwa acha nishikamane lol!

Jana net work ilikuwa mbovu tu ndugu yangu si unajua mambo ya mimba changa mara kichefu chefu mara kusinzia ndio ivo tena!
 
hapo chacha! lol... I miss the gal, nilidhani amerudi bana, nimekuta threads zake zimepandishwa nikasema the gal is in the house..... Kumbe Watu wamemumiso. Last time I heard anaenda shule na yahitaji attention yake yote...lol

What are we doing today?:lock1:
Sijui wewe una mpango gani, but just let me know, I am in for a crazy program.
Kipipi uko na nani? sijakuskia ukitajwa. Na kama huna sema (I have a list of suitable candidates)
 
Sijui wewe una mpango gani, but just let me know, I am in for a crazy program.
Kipipi uko na nani? sijakuskia ukitajwa. Na kama huna sema (I have a list of suitable candidates)


Your shem is making me crazy hapa....lol. Naomba uje nisaidia kubembeleza, najaribu muweka in line kagoma... saizi navuta pumzi then baadae nitajaribu.

Kipipi yupo na Kbd... Do you know him? Akimuona kipipi avatar yake ya ki baby hadi inabadilika rangi.... lol
 
he he he, ila kweli.
Eti hata kukohoa kosa.

Ukiiba kuku unanyongwa.

Aiseee!
Nimeshalijua hilo,kuna mageti mengine huwa sisubutu hata kuyakaribia maana maafande wa huko ni noma,
Japo maafande wa mageti yote hata hawasomeki siku hizi,nikupita mwendo wa kunyata tu maana hatuijui siku wala saa!!
 
Back
Top Bottom