sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Hahahaha! Habari ndio hiyo kama hutaki meza wembe!unachonga sana wewe! iko siku...........
Hahahaha! Habari ndio hiyo kama hutaki meza wembe!unachonga sana wewe! iko siku...........
kuna mtu nimemuona anakuangalia sana.....ngoja nimfuatilie....nitakuletea majibu...
unaogopa eh? kwani una la kuficha? nataka nimwombe ani join for a drink leo level 8 Hyatt Kilimanjaro ili tuongee mambo ya wanaume.Sikupi! Isijekuwa unataka kumwambia aniache kama wewe ulivyoachwa na Eliza wa T.
kwa nini unafurahia mateso yangu?Sana..
maumivu ya kichwa huanza pole pooooole!!!!!!!!!!
Utamfundisha mume wangu tabia mbaya...mtafute alieachika mwenzio mwende nae, nitty hapana!unaogopa eh? kwani una la kuficha? nataka nimwombe ani join for a drink leo level 8 Hyatt Kilimanjaro ili tuongee mambo ya wanaume.
Ulizidi kuturingishia! Ukitamka maneno 10, tisa unamtaja Eliza lol.kwa nini unafurahia mateso yangu?
Bagah na Bi Nyakomba
SweetLady na Nitonye
Uporoto na Kabakabana
Hahahahahahaha! Hajui kusoma na kuandika tehe, tehe!Afu kuna mtu namsoma tu hapa chini na mpua wake, lakini hachangii lolote sijui hajui tena kusoma na kuandika?
Anashangaa avatar tu.
There are currently 20 users browsing this thread. (13 members and 7 guests)
Shem ninachokupendea ni utunzaji mzuri wa kumbukumbu ktk halmashauri ya kichwa yako lol big up
Hehehe! Kweli umejizatiti lol...Shem ninachokupendea ni utunzaji mzuri wa kumbukumbu ktk halmashauri ya kichwa yako lol big up
una hela weye ya kwenda joji n dragon?mara ya mwisho umeonekana bulyaga temeke,bar kubwa utadhani uwanja wa mpira.Nikuletee panado?
Ijia hapa G&D haraka.
Na hivi Lizzy wa T kakubutua, leo unalo.
unanchekesha! we si umemwachisha mkewe? poor nitts!Utamfundisha mume wangu tabia mbaya...mtafute alieachika mwenzio mwende nae, nitty hapana!
sitaki hata kusikia jina lake!Ulizidi kuturingishia! Ukitamka maneno 10, tisa unamtaja Eliza lol.
Bagah na Bi Nyakomba
SweetLady na Nitonye
Uporoto na Kabakabana
Chu chu chu, to to to, ajigi jigi jigi.
Karibu hapa, achana na halmashauri hizo, njoo ikulu kabisa.
Utaanziaje mkia wakati kichwa niko hapa.
Utamfundisha mume wangu tabia mbaya...mtafute alieachika mwenzio mwende nae, nitty hapana!
unanchekesha! we si umemwachisha mkewe? poor nitts!