Pj hili ni wazo zuri sana,yaani kila siku nilikua naombea litokee hili jambo kwa wakati muafaka,yaani hizo tarehe nilipanga kuwa Arusha.
kaka niweke ktk list,cant wait to meet you guys
hahah PJ bana, Takwenya, Keyaa!
Natamani kuwepo, nikipata muda i'll pm you!
I salute you PK, ni wazo zuri sana kama bado nafasi hazijajaa niweke kwenye list mkuu.
Sanawari ndo mtaa.
Request granted as per yr wish. Utakaa siti no F6, katikati atakaa MFAMAJI, mwishoni CHEUSIMANGALA.
umeridhika?
na kwa kuwafahamisha tu, wakati tunarudi tutapitia Yaeda muwasalimie ndugu zangu,jamaa na majirani....nimekuwa nikiwasimulia habari zenu wana JF wakapata shauku ya kuwaona, kwa hiyo tutakula asali kwa wingi na wale wanaotumia nyanyi roho zenu zitasuuzwa....
PJ upo juu keep it up......I wish to join you guys lakini mume kazi ndio shughuli hatokubali nije huko ikiwezekana nami nitawajoin
ha ha ha! tutamuliza Mfamaji kama hatajihisi kubanwa,,lol!vinginevyo iko sawa
Wiselady . Mm poa tu. Ww utakuwa pande ipi?
Mkuu PJ mkoloni kaniachia tarehe 23 Desemba so by jioni nitakuwa Arusha nafikiri sitowahi nitawasubiri on ur way back tukutane hapo ARUSHA.
Meneja wangu Nguli,
Napenda nikujulishe kuwa wewe ni mmoja katika watu hapa Jf wanaoheshimika sana. Tunashukuru kwa kutambua kwako harakati hii, na kama utashindwa kbs kujoin, basi tutahijaji sala zako.
Meneja uwe na amani tele.
na kwa kuwafahamisha tu, wakati tunarudi tutapitia Yaeda muwasalimie ndugu zangu,jamaa na majirani....nimekuwa nikiwasimulia habari zenu wana JF wakapata shauku ya kuwaona, kwa hiyo tutakula asali kwa wingi na wale wanaotumia nyanyi roho zenu zitasuuzwa....karibuni sana