WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
nitakuja na biblia yangu
Nafurahi kuwa utakuwa sambamba na silaha yako,kweli unazingatia mafundisho.
nitakuja na biblia yangu
Najua mtu wa mwisho unayetaka kumwona ni mimi babu yako. Ndo maana natafakari kama ntapata mapokezi mazuri toka kwako. Na nnajua ni kitu gani kinasababishe usinipende. Lakini taka usitake, utaniona, kwa lazima!
hapo ndo pointi ilipo....labda tuhakikishe tu hampandi gari moja ili ukaguzi usijeanzia huko huko.....
Wana-JF wa Arusha,
Wababa :Enda-Subhai!
Wamama :Endakwenya!
Wote :Subhati Ngerai, habari-ya-Ngaji?..Engai Engoitoi!...poleni sana!
Wapendwa,
Nia yangu si ubaguzi wa Makabila au maeneo, lakini kama mjuavyo, Maasai ndio mila/kabila PEKEE linalojaribu kushindana na kasi ya mabadiliko yaliyoasisiwa na ujio wa wageni nchini!
Nia ya post hii ni kuwajulisha wana-JF wa Arusha na maeneo ya jirani kwamba kuelekea mwisho wa mwaka 2010 tuna Mpango Kabambe wa kuasisi mijumuiko ya kijamii, ambapo kwa kufanya hivyo tutakuwa tunatekeleza kwa vitendo upiganiaji haki wetu, ambao kwa bahati mbaya umekuwa kimabandiko-zaidi kuliko uhalisia..Charity begins home...na tuanze sisi wenyewe kuonyesha kwamba mambo haya yanaweza kubadilishwa na kutendewa kazi ya kuonekana kwa macho...lets go substantial!
Jana (9/12/2010-Uhuru wa Tanganyika) wana-JF kama 5 wa hapa Arusha, tukiwa na m-JF mgeni toka Dar tulikutana mahali kwaajili ya kufahamiana na kubadilishana mawazo, tukagundua kwamba ni jambo jema sana kukaa pamoja na kuongea, na hatimaye tukaona umuhimu wa kufanya kitu cha kirafiki.
Tuliazimia kuwa tu'organize safari ya kutembelea mbuga yoyote ya wanyama iliyoko pande za huku kama ambavyo tutakubaliana, kabla ya Krismas, yaani kati ya tarehe 15-23/12/2010...
Tumegundua kuwa Arusha kuna members wengi sana(huenda kuliko Dar:grouphug...!
Kwa members wote mtakaokuwa interested, tafadhali aidha onyesheni kwenye bandiko hili, au nitumieni PM, ili pamoja na mengine tufanye kikao cha awali cha logistics.
NB:
Members wa nchi nzima mtakaokuwa Arusha/Moshi kwaajili ya X-MAS au LIKIZO au vyovyote mnakaribishwa sana ili tuungane pamoja!
Ngongo.. Rutashubanyuma, na wengineo, tunahitaji sana inputs
zenu!
mmh haya banaBado siiipatiii picha ile cku tukufu ya kumuona babu ..... a.k.a babu teeneger! u have my love,,karibu sana
Safi sana pj tukipata nafasi tutachomka tuje huko
mmh haya bana
Naona umedhamiria kweli
LOL mimi huwa sisafiri mwisho wa mwaka. mtanikuta dar nawasubiri.msisahau kuja na maparachichi.
Nawaunga mkono,
Mkuu, ukiisoma kwa makini pale juu utaona mwishoni kuwa nawakaribisha watu wote ambao ni members bila kujali kama ni wa ARACHUGA!lakin pia PIIJEI ukitoa mwaliko kwa memba yoyote yule aliyopo tanzania au nje aje ARACHUGA sisi tupo tayari na tunakuja tu!
jaribu kuupanua wigo wa mwaliko ili na sisi wanyalu tuje arusha
ok ok!ngoja nikae na wadau!kimsingi tulikuwa na plan kama hiyo na tuliidiskass sana,ngoja tuone kikao cha leo tutaamua ninMkuu, ukiisoma kwa makini pale juu utaona mwishoni kuwa nawakaribisha watu wote ambao ni members bila kujali kama ni wa ARACHUGA!
mKUU KARIBUNI SANA, MAUZOEFU YENU YANAHITAJIKA SANA!
Confirm in case!
Pj hili ni wazo zuri sana,yaani kila siku nilikua naombea litokee hili jambo kwa wakati muafaka,yaani hizo tarehe nilipanga kuwa Arusha.
kaka niweke ktk list,cant wait to meet you guys