JF Arusha; Beyond keyboards......!!!!

yesuuuuu......ni nini mae utake kunimuvuzisha haraka hivi.......utanifanya nifanye leo hii kitu ati
Chilax pretty Preta!Kwanza nataka niferenge shingo za hao walopelekea wewe upate mawazo ya kujitundika!Wataje kwa majina.
 
Namtafuta Loner.

Loner mimi nimemwona ni kitu ya uhakika.....................................kaa hukohuko Dar the finest......................
 
Hahahaha!!! Ruta nashangaa sijaona jina lako hizi ni dalili za ubepari lol!!!

mida ya hivi vikao yanipa shida sana.......................mgongano wa ratiba.........................lakini niliwahi kuhudhuria kimoja....one day will find space for another but my time is really skimpy.....................
 
hii ishu mmeifanya kiuchoyo mbona mie nilikuwepo maeneo hayo? Si tungejuzana tu!!

unapokuja A-Town unijulishe...........................nitakuwa mwenyeji wako.............
 
Chilax pretty Preta!Kwanza nataka niferenge shingo za hao walopelekea wewe upate mawazo ya kujitundika!Wataje kwa majina.

Ni SaharaVoice na PakaJimmy....wasumbufu sana hawa jamaa......lakini kabla sijaondoka.....hiyo avatar yako ni....ni ....ni.....e e?
 
hongereni wana arusha, one again... nimekua mzee wa MEMKWA
 
Ni SaharaVoice na PakaJimmy....wasumbufu sana hawa jamaa......lakini kabla sijaondoka.....hiyo avatar yako ni....ni ....ni.....e e?
Uende wapi sasa nawee? Si nimekwabia hao niachie?Eeh hiyo ndo kama hivo mwanakwetu!
 
Mimi nilikua na swali kwa Sahara Voice ivi Jumamosi unajua nilifikaje nyumbani?
 
Ahsanteni sana wadau kwa kuniombea kheri tangu nilipokuwa safarini toka Arusha.

Nafurahi kuwafahamisha kwamba nilifika salama salimini, na sasa naongea toka uwanja wa nyumbani "OT".

ODM atakuwa anakuja huko ili kujaribu kuthibitisha ukarimu wenu, tafadhali mjitahidi kuwa naye karibu ilim kuimarisha usalama wake, vinginevyo atapotelea huko na mtapata kazi ya ziada kumtafuta!!

Thanks & best regards.
 
HTML:
Aisee kumbe huyu mchungaji ni fake?? si ajabu naye akawa anafanya ile biashara!!

Jmosi nilikuwa natafuta kondoo aliyepotea.
Kumbuka imeandikwa, (Hivi ni nani kwenu aliye na kondoo 100, akapotea mmoja asiwaache wale tisini na kenda kwenda kumtafuta yule mmoja?)
 
Jmosi nilikuwa natafuta kondoo aliyepotea.
Kumbuka imeandikwa, (Hivi ni nani kwenu aliye na kondoo 100, akapotea mmoja asiwaache wale tisini na kenda kwenda kumtafuta yule mmoja?)

Kweli kweli mchungaji utaacha wale 99 na utamtafuta yule mmoja aliyepotea, unaelewaka mchungaji, ha ha ha ha
 
HTML:
Kweli kweli mchungaji utaacha wale 99 na utamtafuta yule mmoja aliyepotea, unaelewaka mchungaji, ha ha ha ha

Ni imani yangu kwamba Loner atapita hapa.
Vipi huo mguu mama, halafu msalimie Preta
 
Kweli wewe ni mchungaji orijino...... kwa macho yangu nimeshuhudia ukiwaacha kondoo tisini na kenda na kwenda kumfatuta 1 aliyepotea....big up mchungaji......endelea kuwa mwaminifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…