Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,322
- 7,161
Jeshini sio shuleni kule ni kazi moja.Sure, kuna watu wanawatetea bila kujua undani wa hilo jambo!
Hoja zao ni kwamba sijui wamefundishwa kutumia silaha so watajiingiza kwenye uhalifu!
Jeshini sio shuleni kule ni kazi moja.Sure, kuna watu wanawatetea bila kujua undani wa hilo jambo!
Hoja zao ni kwamba sijui wamefundishwa kutumia silaha so watajiingiza kwenye uhalifu!
Acha wenge la JPM, kumbuka yeye ndo kachelewesha ajira au kuzuia ajira za vijana wengi wa JKT waliokuwa wanajiliwa katika majeshi yetu. Yeye kutambua tu wale waliojenga uzio among many others ni ubaguzi, pili mtoa kibali cha kuajili ni ikulu ambaye alikuwa yeye kama kweli alikuwa na niya ya kuwaajili kwnn hakufanya hivyo tangu alipotoa tamuko miezi 8 imepita. Matamuko mengine yalikuwa siasa na kutaguta cheap popularity.Hilo lakuwahamisha ilikuwa kuwapoteza uelekeo kwasababu JPM alitoa maagizo baada yakukamilika waajiriwe Jeshini moja kwa moja...narudia tena waliowatangulia walipokamilisha mission yao ya ujenzi walianza kutawanywa vikosini nakuamriwa warudi nyumbani JPM ndo aliwarudisha, sasa hivi JPM hayupo nani atawatetea?
Hata hawa kuna sehemu walikanyaga waya vibaya. Ndomaana walikua 2400 ila waliofukuzwa ni 854 pekeyakeUmesema mwenyewe hapo kuwa hao wa awali kuna njia walitumia wakarejeshwa. Sasa hawa wanaleta migomo jeshini. Hawafai waasi hao
kuna utaratibu. hawapelekwi kama unapeleka ng'ombe.
JPM is dead. live with it man. hakunaga orders za rais alifariki. once he is gone he is gone.Hilo lakuwahamisha ilikuwa kuwapoteza uelekeo kwasababu JPM alitoa maagizo baada yakukamilika waajiriwe Jeshini moja kwa moja...narudia tena waliowatangulia walipokamilisha mission yao ya ujenzi walianza kutawanywa vikosini nakuamriwa warudi nyumbani JPM ndo aliwarudisha, sasa hivi JPM hayupo nani atawatetea?
jeshi aliendeshwi kwa ahadi. hapa late pres jpm alikosea sana sana.Uko kihisia zaidi mzee, wale wamepewa ahadi ya moja kwa moja wakikamilisha mission waajiriwe Jeshini direct sasa labda ndo moja ya maasi kwa Mwendazake
Ushauru mzuri.Ndg wanajamvi habari za jumapili.
Niende kwenye mada moja kwa moja, “Jeshi lijitathimini” ndiyo Jeshi letu kwa macho ya nje limejivika vazi nzuri la uaminifu macho pa Watanzania wote lakini kwa ndani linapokuja suala la Ajira ndani ya Jeshi hasa hili tunaloliona la vijana wa JKT siyo Waaminifu kabisa. Wakuu wetu hawa wajitathimini tena kwanini wanazipoka haki za vijana wetu hawa hasa ambao hawana mahala pakuegemea.
Sakata la “Uasi wa Vijana wa JKT”
Jambo hili litazamwe upya na hawa vijana wasaidiwe hata km siyo ndani ya JWTZ lkn wapewe ajira maana hii ilikuwa ahadi ya Rais wa awamu ya tano. Kuna michezo mibaya sana labda kama Rais Samia hajui atadanganywa. Kabla vijana hawa kuna vijana ambao walishiriki shughuli mbalimbali za ujenzi kuanzia ngerengere, Dodoma nk ambao km ilivyo kwa hawa “Waasi”, wao walipewa ahadi nawakatimiziwa lakini haikuwa rahisi.
Ilianza kama ilivyokuwa kwa hawa “waasi” wakarejeshwa vikosini nakupewa Vyeti vyakumaliza mkataba wakatakiwa kuondoka huku wakipewa maagizo kuwa watatafutwa kukiwa na mabadiliko. Vijana wale wakafanya jitihada za kuwasiliana na uongozi lkn wakapewa maagizo kuwa waondoke hatua ya mwisho wakahangaika kupata mawasiliano ya alikuwa Rais Marehemu JPM wakafanikiwa, wakamweleza kuwa tumerudishwa nyumbani, JPM alishangaa kwann warudishwe wakati taarifa aliyonayo wanafanyiwa mchakato wa ajira na ana list amepelekewa? Ndipo alipomwagiza Brigedia Mbuge ampelekea list ya vijana walioshiriki ujenzi kuanzia ukuta wa mererani, Ngerengere na Dodoma, uzuri Mbuge alishtuka akapeleka list iliyohalisi ndipo JPM akagundua kuna waliochomekwa. Akaagizwa vijana waliositishiwa mkataba warejeshwe na hatimaye sasa ni Wanajeshi.
Natoa hii historia ili kwa wale ambao hawaelewi figisu zilipopo Jeshini linapokuja suala la Ajira watambue kuwa vijana wale walijua wazi kuwa wanaondolewa kijanja ili wengine wachomekewe. Rais wangu Samia wangalie vizuri hao wakuu na uchukue hatua vijana hawa wanapigania haki zao walioahidiwa na Rais JPM. Pili, Jeshi linaongozwa na binadamu usije fikiria hakuna maovu huku ndani hapana yapo tu.
Linapokuja suala la maslahi huwa kuna misemo kama “Mbanga na Mbuyu” linakuwa na nguvu. Wakuu wetu katika hili siyo waaminifu wala waadilifu wao wanaangalia ndugu zao na watoto wao kwanza linapokuja suala la kuingia Jeshini.
Mjitathimini, Mjisahihishe “Jeshi la Ulinzi Wawananchi wa Tanzania” siyo vizuri kulisha nyumbu yako kwa jasho na damu za wengine
Na wakupewa fursa na wale wote walioko mtaani nao wafikiriwe hivi serikali kwa nini isiwapeleke hata mbungani huko wakalinde nyumbu mbona tuna mapori kibao tuu ya hifadhi za taifa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria kwa mbaliii hao vijana wajiunge na alshababi wa pale msumbiji hivi tutaona?
Ni wachache sana watakuelewa mkuu lakini nina uhakika hata hao waliotimuliwa wanajua kosa lao lilipo.Mabeyo kutoka hadharani, tena mbele ya Rais na kutoa tamko la kuwatimua haikuwa bahati mbaya!
Kwenye hafla moja hivi, Mabeyo alisema jeshi lipo tayari kumtii Rais ambaye ni Mama Samia, lakini akataka kusema kitu mwishoni akamezea kuwa atamwasilishia Rais ofisini, ni nani anayejua alichotaka kusema...!?
Kuna waliong'amua kuwa kuna nyuma ya pazia!
Hivyo hao vijana hawajatimuliwa kwa bahati mbaya, jeshi linataratibu zake!
Kula ugali ni haki yao unataka wafe njaa wakati ugali upoNa mimi nina Vijana Wawili Nyumbani wanakula ugali tu naomba wapewe ajira.