Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Okey!U have a point.....
Ila kusema air force nilimaanisha anga exclusively yaani vifaa vya angani pekee....Kuhusu trucks na buses najua ni India zilikuwepo TATA nyingi zimestaafu.
Nafikiri hatujakua serious sana kuwekeza katika silaha sisi Waswahili tunaona kama uchuro kununua au kutengeneza silaha kwa sababu a amani na utulivu tulionao.Ila uwekezaji katika silaha ni muhimu sana.
Tumefunga mjadala..!