Jeshi Letu La Wananchi kamandi ya Anga

Jeshi Letu La Wananchi kamandi ya Anga

Nimefurahi pale ulipoandika "helicopter nazo tunazo eti" hahahaa
 
For the record... kwa upande wa anga hatuko vizuri.. vifaa tulivyo navyo ni vya zaman sana. J-7 ni chinese copy of MIG-21. Walichobadilisha ni muundo wa mbawa na engine.
Kiujumla.. lazima nchi iwekeze.. kwenye jeshi la anga ili liwe la strong.
Authorised copy.
Huu wimbo wa hatuko vizuri kwenye anga nasikia kuanzia niko mtoto.Mpaka leo? C in C JPM fanya kitu agiza vitu vya Lockheed Martin au kina Sukhoi. Sio bombardier tu na Dreamliner!
 
Sorry... Nilikua busy kimtindo.

Kwanza nikubali kuwa mimi ni mtumiaji mzuri wa mmea pendwa(bangi)...

Pili ume prove hujui lolote kuhusu jeshi... Baada ya kusema kamandi ya anga hawavai bakabaka.

Hivi ndio vifaa vyetu na sio hivyo vya kugoogle...

Hughes/MD 500
448807750e28485d1c579c93478c1b49.jpg


DHL-5 Buffalo
edf4f45edcceb16ffb335e6abb094c21.jpg


Shaanxi Y-8
bd36071e5942b077a373d08b0fa4afd5.jpg

88ea892e76388d43e62ecbf14d63f367.jpg


Short SD3-30
b3bd487bcedf506ddcc96542cab46246.jpg


Hizo ni baadhi... Usilete ujuaji wa kijinga kijana.
Ndio nakwambia u unakula bangi mbaya.Njoo karatu upewe kitu cha ute....

Kwenye mada sasa,ulichofanya na wewe ni kugoogle tu kama mimi huna tofauti.umegoogle tu huna lolote.Kugoogle raia imekua nongwa wakati mwenyewe afisa mteule daraja la pili umegoogle.hahahah

Chinese Y-8 Aircraft Exported to Tanzania


Lete ulizopiga wewe unajifanya soldier.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] hii kali duuh eti jeshi la anga hawavai bakabaka afu mkuu utakuta umeongea kwa sauti kweli hata unachosema haukijui
 
[emoji38][emoji38][emoji38] hii kali duuh eti jeshi la anga hawavai bakabaka afu mkuu utakuta umeongea kwa sauti kweli hata unachosema haukijui
Mkuu...

Hata Mimi nimemshangaa hapo... Ndio nikajua nabishana na mtu asiyelijua jeshi ila analipenda.

Tena anajiamini kabisa eti kamandi ya anga hawavai bakabaka.
 
bukoba boy sidhani kama mtu anayejua firepower na hardwares za TPDF anaweza kuja kuandika humu hata siku moja. Hao jamaa wana security clearance ya juu sana na wanakuwa chini ya uangalizi mkali sana masaa 24....

asante kwa kuanzisha thread....
 
Mkuu...

Tatizo unataka ushindani na ugomvi kitu ambacho Mimi sikihitaji...

Tupo hapa kuelimishana so take it easy boy...

Hakuna mahali nimesema Mimi ni soldier... But both of my parents are soldiers.

Picha nilizokuwekea sijazipiga mimi Ila nilikua nazo kwenye simu.

Nilichotaka kumwambia ni kuwa uwe unaweka picha halisi ili tupate picha halisi ya jeshi letu.

Hizo picha nilizoweka mimi zinaonesha picha halisi ya vifaa vyetu.

Tuache kujibu kwa jazba man... Tujikite kwenye kuelimishana.
Ulisema picha za internet hazifai na wewe ukaleta hizo hizo.Sawa uambiwe onyesha VX V8 wewe ukaonyesha nyuepe mimi nikaonyesha nyekundu ukasema sio VX V8.Ndio nini sasa mkuu?
Picha halisi kwa maana yako ungeleta zikiwa ukonga au kokote kambini.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] hii kali duuh eti jeshi la anga hawavai bakabaka afu mkuu utakuta umeongea kwa sauti kweli hata unachosema haukijui
Thread nzima umeona hapo tu?We unaongelea paratroopers mimi nawaongelea warusha ndege wenyewe.
 
bukoba boy sidhani kama mtu anayejua firepower na hardwares za TPDF anaweza kuja kuandika humu hata siku moja. Hao jamaa wana security clearance ya juu sana na wanakuwa chini ya uangalizi mkali sana masaa 24....

asante kwa kuanzisha thread....
Na wala sijasema waje hapa.unavyoona hiyo ni picha ya nje tu.
 
Sorry... Nilikua busy kimtindo.

Kwanza nikubali kuwa mimi ni mtumiaji mzuri wa mmea pendwa(bangi)...

Pili ume prove hujui lolote kuhusu jeshi... Baada ya kusema kamandi ya anga hawavai bakabaka.

Hivi ndio vifaa vyetu na sio hivyo vya kugoogle...

Hughes/MD 500
448807750e28485d1c579c93478c1b49.jpg


DHL-5 Buffalo
edf4f45edcceb16ffb335e6abb094c21.jpg


Shaanxi Y-8
bd36071e5942b077a373d08b0fa4afd5.jpg

88ea892e76388d43e62ecbf14d63f367.jpg


Short SD3-30
b3bd487bcedf506ddcc96542cab46246.jpg


Hizo ni baadhi... Usilete ujuaji wa kijinga kijana.
Tuwekee attacking fighters
 
Back
Top Bottom