mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,012
kitu kinanifanya niipende jwtz ni kwavile haijiusishi na siasa
HujaelewekaKuna moja imekatwa mkia na kupakiwa kwenye uwanja wa ndege mmoja nchini nahisi ni F 35
Si rahisi nini?Siyo rahisi sana mkuu, ila ni wazo zuri
HahahhahHivi zote hizo zipo na zinafanya kazi maana hua naonaga chache pale air wing nikiwa kikazi
Mkuu katoa picha google akaziweka tuu kukamilisha uzi..Mkuu model wanayotumia ni hiyo hiyo.Kwa hiyo ningeweka F-35 ya IDF ungesema Marekani hawana sababu imeandikwa Israel Air Force?
Siri gani kwa mfano?Haha si unajua jeshi letu lilivyo na siri kubwa.
Exactly!kitu kinanifanya niipende jwtz ni kwavile haijiusishi na siasa
Mbona kondakta aliwaamuru wapande miti?.kitu kinanifanya niipende jwtz ni kwavile haijiusishi na siasa
Sasa kama jeshi lenyewe haliweki picha zake hadharazi unapata wapi picha?au niende ngerengere kupiga picha?Mkuu katoa picha google akaziweka tuu kukamilisha uzi..
Air force linanunua nini india?Siri gani kwa mfano?
Vifaa tuna nunua china na india unasema siri?
Siri labda kwa ninyi raia
Na yule msemaji aliepewa uongozi chama tawala?kitu kinanifanya niipende jwtz ni kwavile haijiusishi na siasa
Exactly!
ile sio mbaya ukiangalia kwa juu ju ila pale ni kama sisimizi kumtishia tembo kumng'ataMbona kondakta aliwaamuru wapande miti?.
Nimewaza tu usinichukie.
Na yule msemaji aliepewa uongozi chama tawala?
Na yule general mstaafu aliyewapigia debe chadema?Linatumika sema kijanja kama walivuopiga mkwara kabla ya uchaguzi 2010.
Mkuu hizi Trucks za Ashok zinatengenezwa Tz?Air force linanunua nini india?
Siri hata kwa wewe soldier.inakua si siri kwa maofisa wa juu.
Nahisi kama huu Uzi utafutwa, subiri niyasevu kabisa haya madiniKama ilivyo ada kwa majeshi ya nchi kua na kitengo cha Anga,Jeshi letu pia sisi wananchi wa Tanzania tunayo kamandi yetu inaitwa Air Wing.Nembo yake ni hii hapa.
Sare zao ni hizi hapa
Huyu ni Afisa wa cheo cha juu
Na huyu ni mwananga wa kawaida
Kamandi ilianzishwa mwaka 1964 na imehusika kikamilifu katika vita vya Kagera.Kwa sasa Kiongozi wake ni Brig Gen Ingram(?)
Makao makuu yake yakiwa ni Ukonga, pia zipo base nyingine mbili Morogoro Ngerengere na Mwanza.
Hapa ni base yetu ya Mwanza.
Moja ya zile zinazotumika sana kwenye vita ni Chengdu J-7. Hizi zipo 12.
Mara ya kwanza kufanya kazi ilikua 1966.
Nyingine tena mashine za Urusi MiG 21
Hii hapa ni kwa ajili ya mazoezi wanayofanya ya mwaka 1956. Hizi zipo 9.
Pia zipo ndege kwa ajili ya kusafirishia airmen wetu pamoja na mizigo yao.Ndege za aina hii zipo 9.
Helikopta nazo tunazo eti
Jamani tukuze uchumi wetu sababu nguvu za uchumi zinaendana moja kwa moja na nguvu za kijeshi kwani tukiwa na mapesa kibao twaweza kununua ndege mpya na za kisasa kabisa kama nchi nyingine zinavofanya na hivyo kua katika upande salama wakati wa vita.
Kama hii hapa MiG 35
f-16
Au siku moja tutakua na kama hii tuweze kupita kwenye rada ya maadui zetu bila kuonekana.
U have a point.....Mkuu hizi Trucks za Ashok zinatengenezwa Tz?
Do we even have factories for assembling hizo ndege?
Naamini katika hili:
Wale wenye technology ya ku-innovate na kutengeneza kitu tuu ndo wenye siri...
Huwezi kuwa unanunua vifaa vya kijeshi ukasema vifaa vyako vina usiri...! Never!
Haufutwi haya mambo yako wazi mtandaoni muda mrefu.Nahisi kama huu Uzi utafutwa, subiri niyasevu kabisa haya madini