Jeshi Letu La Wananchi kamandi ya Anga

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,371
3,946
Kama ilivyo ada kwa majeshi ya nchi kua na kitengo cha Anga,Jeshi letu pia sisi wananchi wa Tanzania tunayo kamandi yetu inaitwa Air Wing.Nembo yake ni hii hapa.

180px-Roundel_of_the_Tanzanian_Air_Force.svg.png

Sare zao ni hizi hapa
120px-Tanzania_Airforce_General_Ceremonial_uniform.png

Huyu ni Afisa wa cheo cha juu

Na huyu ni mwananga wa kawaida
120px-Tanzania_Airforce_Officer_casual_uniform.png



Kamandi ilianzishwa mwaka 1964 na imehusika kikamilifu katika vita vya Kagera.Kwa sasa Kiongozi wake ni Brig Gen Ingram(?)
Makao makuu yake yakiwa ni Ukonga, pia zipo base nyingine mbili Morogoro Ngerengere na Mwanza.

220px-2010-09-14_13-00-35_Tanzania_-_Ihale.jpg

Hapa ni base yetu ya Mwanza.

Moja ya zile zinazotumika sana kwenye vita ni Chengdu J-7. Hizi zipo 12.
300px-Chengdu_F-7_Pakistani_Air_Force_%28cropped%29.jpg

Mara ya kwanza kufanya kazi ilikua 1966.
Nyingine tena mashine za Urusi MiG 21
300px-HRZ_MiG_21.jpg

Hii hapa ni kwa ajili ya mazoezi wanayofanya ya mwaka 1956. Hizi zipo 9.
300px-Shenyang_J-5.jpg


Pia zipo ndege kwa ajili ya kusafirishia airmen wetu pamoja na mizigo yao.Ndege za aina hii zipo 9.
300px-Myanmar_Air_Force_Shaanxi_Y-8_MRD.jpg

300px-YJAV5.JPG

Helikopta nazo tunazo eti
300px-LAPD_Bell_206_Jetranger.jpg



Jamani tukuze uchumi wetu sababu nguvu za uchumi zinaendana moja kwa moja na nguvu za kijeshi kwani tukiwa na mapesa kibao twaweza kununua ndege mpya na za kisasa kabisa kama nchi nyingine zinavofanya na hivyo kua katika upande salama wakati wa vita.


Kama hii hapa MiG 35
300px-Mikoyan-Gurevich_MiG-35_MAKS%272007_Pichugin.jpg

f-16
is

is

is


Au siku moja tutakua na kama hii tuweze kupita kwenye rada ya maadui zetu bila kuonekana.
is


>>>>>>>><<<<<<<<<

Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

[quote uid=225480 name="Clement Vincent" post=19836650]Sorry... Nilikua busy kimtindo.<br /><br />Kwanza nikubali kuwa mimi ni mtumiaji mzuri wa mmea pendwa(bangi)...<br /><br />Pili ume prove hujui lolote kuhusu jeshi... Baada ya kusema kamandi ya anga hawavai bakabaka.<br /><br />Hivi ndio vifaa vyetu na sio hivyo vya kugoogle...<br /><br />Hughes/MD 500<br />
448807750e28485d1c579c93478c1b49.jpg
<br /><br />DHL-5 Buffalo<br />
edf4f45edcceb16ffb335e6abb094c21.jpg
<br /><br />Shaanxi Y-8<br />
bd36071e5942b077a373d08b0fa4afd5.jpg
<br />
88ea892e76388d43e62ecbf14d63f367.jpg
<br /><br />Short SD3-30<br />
b3bd487bcedf506ddcc96542cab46246.jpg
<br /><br />Hizo ni baadhi... Usilete ujuaji wa kijinga kijana.[/QUOTE]<br />Ndio nakwambia u unakula bangi mbaya.Njoo karatu upewe kitu cha ute....<br /><br />Kwenye mada sasa,ulichofanya na wewe ni kugoogle tu kama mimi huna tofauti.umegoogle tu huna lolote.Kugoogle raia imekua nongwa wakati mwenyewe afisa mteule daraja la pili umegoogle.hahahah<br /><br />Chinese Y-8 Aircraft Exported to Tanzania<br /><br /><br />Lete ulizopiga wewe unajifanya soldier.
 
Finland's top daily Helsingin Sanomat features a main headline this Tuesday about military hardware manufacturers gearing up for a four-year process that will culminate in the biggest military purchase the country has ever seen.

The HX fighter replacement programme aims to replace Finland's Hornet fighter jets with upgraded planes in 2021. The run-up to the eventual decision involves five advanced systems manufacturers with global reach, all of whom want to sell fighters to Finland's military. The deal is potentially worth some 7-10 billion euros, and far more when factoring in the 30-year upkeep of the jets, HS writes.

The companies gunning for the top sale are Boeing and Lockheed Martin from the United States, Saab from Sweden, Dessault Aviation in France and the British-European BAE Systems. Before the actual offers are made next spring, consultants and communications agencies also stand to make a killing in the meanwhile. No one openly admits to playing the lobbyist, HS is careful to note.

"It's no use trying to reach me with lobbying speeches," says Defense Minister Jussi Niinistö. "The Defense Minister does not take meetings with lobbyists, which they themselves understand well enough. The ministry's employees may have contact with manufacturing representatives, but only as a normal part of their duties."

The paid representative for Lockheed Martin is former air force commander Ossi Sivén, who says in the paper he is a soldier and aeronautical specialist.

"I get it if a specialist counts as a lobbyist in the public eye, I'm not offended by it," he says. Source: http://yle.fi/uutiset/osasto/news/tuesdays_papers_jet_sales
 
Hicho ki mig mbona kina sura mbaya hvyo kama bondia aliyepigwa konde la uso...
 
Hivi kwa TZ taarifa za vifaa na silaha za kijeshi zinaruhusiwa kuzungumzwa mitandaoni?
Naomba mnitoe ushamba katika hili
 
helicopter uliyoweka imeandikwa LAPD jeshi la polisi los angeles hii imefanya uzi wote kuwa null and void,afu mkuu kasema mambo ya jeshi sio ya kuhoji wala kujadili in public
Mkuu model wanayotumia ni hiyo hiyo.Kwa hiyo ningeweka F-35 ya IDF ungesema Marekani hawana sababu imeandikwa Israel Air Force?
 
Back
Top Bottom