Nchi hii utaiweza ? Jeshi linachukulia mazoezi mijini wakati vita inapiganwa kwenye miti. Sisi wa Mtwara tumechoka nalo sasa, maana mwaka jana vifaru vilikua vinashinda mjini kuzuia vurugu za wananchi wasiokua hata na visu. yaani mikono mitupu versus vifaru.