Under current circumstances anything is possibleCcm wanatumia vyombo vyote vya ulinzi effectively kutawala wananchi . Sijui IGP au CDF wanajua wenyewe walivyopata hizo nafasi na wapo very submissive kwa ccm. Kesho wanakuja kutoa Lipoti yao ya namna vip protection workers walivyokuwa magaidi na kuwapiga na chuma kizito ili tu wafungwe.
Soma uelewe vizuri Bro, Makao Makuu ya Jeshi kwa sasa yako Dodoma, ila taarifa imesema hiyo press conference itafanyika yalipokuwa Makao Makuu ya Jeshi zamani pale Upanga.Makao makuu kwenye anuani ya barua ni ''Dodoma'' alafu ukumbi upo makao makuu ya Jeshi Upanga Dsm what is this? where is Makao makuu ya Jeshi kwa hakika.
Wanajitenga nao?😅 Utasikia sisi hatuwatambui na wala hawakuwahi kutumikia jeshi hili lenye uadilifu mkubwaNo,kuhusu wale Askari wa 92kj
Terrorism alert.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kesho Novemba 30, 2021 litafanya mkutano na waandishi wa habari kutoa tamko maalum.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano ilipokuwa makao makuu ya jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam saa nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinaalikwa.
View attachment 2027410
Maadhimisho hayatafanyika mkuuUtasikia wanatoa hamasa ya kufanya usafi kuelekea maadhimisho ya Uhuru
Senge hiloHilo lijamaa temana nalo linajikuta lijuaji kumbe hamna lolote ..
Hofu inakuja kutokana na experience ya nyakati hizi. Kwa kilochotokea Chadi, Zimbabwe, Guinea, Sudan, Tanzania sio kisiwaKwa nini tunakuwa na hofu, na hofu hii ni nani ameiasisi?. Tujitafakari watanzania.
Hahahaaaa...... !Kesho ndiyo mwisho wa ccm hapa duniani
Hao ndiyo wanajikabidhi madaraka sasa sijui utachagua lipi hapo
Niko njiani nikitokea mkoani Chato bwashee!Bwashee wewe pia ni mjuzaji mzuri, mbona hukujilawa kwenda huko?
Wanajuana hao...Nafikili wanataka wakina Kingai na genge lake waeleze alipo komando waliompoteza na alipo Denis Urio
Bee kwa kisudan ni nyuki!Mayalla kwa Kisukuma ni "njaa".
Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi tumbo moto! Si unajua hapo Uganda na Congo iko maneno ya kuingiliana japo wamekanusha.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kesho Novemba 30, 2021 litafanya mkutano na waandishi wa habari kutoa tamko maalum.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano ilipokuwa makao makuu ya jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam saa nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinaalikwa.
View attachment 2027686
Hakuna mkoa unaoitwa Chato..kuna na adabu bwashee..Niko njiani nikitokea mkoani Chato bwashee!
Na network kijamuhuri ni kujali zaidi mamlaka kuliko faragha za watejaBee kwa kisudan ni nyuki!