Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Usilete mfano wa Tanzania na Misri, labda nikuulize wewe Anuar Saadat alikuwa na makosa gani? Gamal Abdel Nasser alikuwa na makosa gani? Hosn Mubaraka alikuwa na makosa gani? Morsi alikuwa na makosa gan?

Huwezi kujua kwa sababu ya kwetu nayo huyajui. Kwani Kikwete ana Makosa gani? Kwani Mkapa ana makosa gani? Kwani CCM ina makosa gani?
 
Mie wala sijasema hawana makosa nimekuuliza wewe pengine unajua zaidi, hii inaweza kuwa mara ya tano au zaidi jeshi linafanya mapinduzi

Haya ya leo yalikuwa mapinduzi ya jeshi?

Au yale ya mwaka 2011 yalikuwa mapinduzi ya jeshi?
 
When is a coup not a coup?

Al Jazeera's chief political analyst Marwan Bishara, commenting on the army's statement, said:

"This has clearly been thought out really well. It almost feels staged for international media. The picture is that the military is not acting alone but in coordination with various authorities, including religious groups, and even various generational groups. As sugar coated as this step might look, this does not change from the essence that this was not done by legal means. A president that was elected democratically, no matter what one thinks of him, has been removed by armed forces, and this is called a coup d'etat."
 
Nchi ni ya wananchi!!
No matter what....wakiamua hakunaga wa kuwazuia!!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Morsi karibu tena mzee mwenzangu,pata kakikombe Ka kahawa utulize akili.
 
So, was this a military coup?

Kwa nje inasemwa na foreign media kwamba ni Coup, lakini kwa ndani ya Misri ni utaratibu wa jeshi kusikiliza madai ya wananchi kwamba hawaipendi serikali iliyopo madarakani na jeshi linafanya tathmini na kuondoa serikali hiyo.

Kutokana na hivyo tutaona Mohamed El Baradei anaapishwa kuwa raisi wa serikali ya mpito.

Ni utaratibu wa kidemokrasia (kama ule wa kuchagua serikali) lakini huu ni wa kuindoa na wananchi wanakutana na wanajeshi kwenye TV na mitaani na kuambiwa (sio kuambulia vipigo) kwamba serikali inapisha na ile ya mpito utaingia
 
  • Thanks
Reactions: EMT
jeshi litamvuaje madaraka rais huyo aliechaguliwa kidemokrasia?

Inawezekana tu iwapo katiba inatoa nafasi ya kufanya hivyo. Utagundua Wafuasi katika hofu yao ya Jeshi Kuchukua Madaraka hawakulalamika kuwa linakiuka katiba zaidi walitumia Kigezo cha Mapinduzi ili kupata kuungwa mkono na mataifa ya Nje. Hata hivyo Jeshi iligundua hilo mapema na walichofanya walijaribukuongea na Rais Morsi Mwenyewe na anaonekana wazi hasa ukizingatia hotuba yake ya Jana, amejaa Kiburi na majivuno na hakuamini kuwa hili ilinaweza kutokea kwa upofu wake wa kusoma alama za nyakati kuwa kura si umaarufu wa kudumu. waliposhindwwa kuelewana waliwakusanya wooote wenye ushawishi mkubwa kwa watu wa Misri wakiwemo viongozi wa Dini, Vyama vya Siasa vikubwa na Asasi za Kiraia kama chama cha vijana na kuzungumza nao. Kisha wakwaweka mbele ya Baraza kutoa msimamo na kauli za motisha. Hii tayari inaligawa kundi la Morsi kiaina maana sio Morsi na chama chake pekee ndio wanaoweza kutoa mustakabali wa Misri. Tayari sasa wameanza kumalumu raisi wao kukaa kimya bila kujibu mashambulizi au kutoa kauli ya msimano kuwapa motisha wafuasi wake. Yawezekana hana nafasi hiyo, labda anashikiliwa au yuko mafichoni kuhofia usalama wake si tu kwa waasi bali hawa kwa wafuasi wake kutokana na hasira zao kwa kushindwa kwake kulinda Demokrasia ya nchi.

Mihimili ya nchi ikiwa imara na yenye Nidhamu, muhimili mmoja ukileta shida hii mingine inaweza kujipanga na kuiokoa nchi. Hapa Jeshi ilichofanya imeipa mahakama, kupitia Jaji Mkuu kusimamia nchi kwa mujibu wa Katiba iliyopo na kuahidi kushughulikia changamoto zilizojitokeza zikiwemo za kikatiba.

Cha kujifunza ni hiki, si lazima kusubiri wakati ujao iwapo mambo hayaendi yanavyopaswa, katiba haitekelezeki na uchumi unayumba na serikali nikimaanisha watendaji wake wanakuwa hawana muelekeo kwa kukosa nidhamu ikiwemo kuongezeka kwa rushwa. Hapa inaonekana hakuna Siasa za Kinafiki. Amani itatokana na kuvumiliana iwapo tunatofautiana kwa maoni si kwa kuogopana na kuambiana kwa unafiki hata kama hatufurahiani, huku mambo yakienda sivyo kama tulivyoahidiana katika kampeni za uchaguzi.
 
Kama jeshi la Misri halitachukua tahadhari kwenye suala hili huenda nchi hiyo itaingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe maana inaonesha wanaomuunga mkono Morsy ni wengi sawa na wanaompinga.
 
Huu ulikuwa ni uamuzi uliochelewa; kile ambacho Wamisri wengi walikuwa wanakihofia kuhusiana na Muslim Brotherhood kimetimia; wamepewa nafasi ya kuongoza wameshindwa na badala yake wamefanya exactly what people had been warned about them before. Jeshi ni kama liliamua kuwasetup kwa sababu sasa MB haitokuwa na ile nguvu tena na wanarudi kule kule walikokuwa chini ya Mbarak; banned.

Ndio maana wengine tunasema uongozi ni hekima; Morsi alikosa hekima ya kuwa kiongozi na badala yake aliongozwa na itikadi ya utengano.
 
Kutokana na hivyo tutaona Mohamed El Baradei anaapishwa kuwa raisi wa serikali ya mpito.

Nilidhani chief justice ndiye anakuwa kiongozi wa serikali ya mpito?

Sidhani kama ni vyema kumteua Mohamed El Baradei kuwa kiongozi wa serikali ya mpito ikizingatiwa alikuwa opponent wa aliyepinduliwa.
 
Inawezekana tu iwapo katiba inatoa nafasi ya kufanya hivyo. Utagundua Wafuasi katika hofu yao ya Jeshi Kuchukua Madaraka hawakulalamika kuwa linakiuka katiba zaidi walitumia Kigezo cha Mapinduzi ili kupata kuungwa mkono na mataifa ya Nje. Hata hivyo Jeshi iligundua hilo mapema na walichofanya walijaribukuongea na Rais Morsi Mwenyewe na anaonekana wazi hasa ukizingatia hotuba yake ya Jana, amejaa Kiburi na majivuno na hakuamini kuwa hili ilinaweza kutokea kwa upofu wake wa kusoma alama za nyakati kuwa kura si umaarufu wa kudumu. waliposhindwwa kuelewana waliwakusanya wooote wenye ushawishi mkubwa kwa watu wa Misri wakiwemo viongozi wa Dini, Vyama vya Siasa vikubwa na Asasi za Kiraia kama chama cha vijana na kuzungumza nao. Kisha wakwaweka mbele ya Baraza kutoa msimamo na kauli za motisha. Hii tayari inaligawa kundi la Morsi kiaina maana sio Morsi na chama chake pekee ndio wanaoweza kutoa mustakabali wa Misri. Tayari sasa wameanza kumalumu raisi wao kukaa kimya bila kujibu mashambulizi au kutoa kauli ya msimano kuwapa motisha wafuasi wake. Yawezekana hana nafasi hiyo, labda anashikiliwa au yuko mafichoni kuhofia usalama wake si tu kwa waasi bali hawa kwa wafuasi wake kutokana na hasira zao kwa kushindwa kwake kulinda Demokrasia ya nchi.

Mihimili ya nchi ikiwa imara na yenye Nidhamu, muhimili mmoja ukileta shida hii mingine inaweza kujipanga na kuiokoa nchi. Hapa Jeshi ilichofanya imeipa mahakama, kupitia Jaji Mkuu kusimamia nchi kwa mujibu wa Katiba iliyopo na kuahidi kushughulikia changamoto zilizojitokeza zikiwemo za kikatiba.

Cha kujifunza ni hiki, si lazima kusubiri wakati ujao iwapo mambo hayaendi yanavyopaswa, katiba haitekelezeki na uchumi unayumba na serikali nikimaanisha watendaji wake wanakuwa hawana muelekeo kwa kukosa nidhamu ikiwemo kuongezeka kwa rushwa. Hapa inaonekana hakuna Siasa za Kinafiki. Amani itatokana na kuvumiliana iwapo tunatofautiana kwa maoni si kwa kuogopana na kuambiana kwa unafiki hata kama hatufurahiani, huku mambo yakienda sivyo kama tulivyoahidiana katika kampeni za uchaguzi.

Mkuu Big Up, hii imetulia naona tupo pamoja.
 
Huu ulikuwa ni uamuzi uliochelewa; kile ambacho Wamisri wengi walikuwa wanakihofia kuhusiana na Muslim Brotherhood kimetimia; wamepewa nafasi ya kuongoza wameshindwa na badala yake wamefanya exactly what people had been warned about them before. Jeshi ni kama liliamua kuwasetup kwa sababu sasa MB haitokuwa na ile nguvu tena na wanarudi kule kule walikokuwa chini ya Mbarak; banned.

Ndio maana wengine tunasema uongozi ni hekima; Morsi alikosa hekima ya kuwa kiongozi na badala yake aliongozwa na itikadi ya utengano.

So, was this a military coup Sir?

Do you agree with the latest statement released by Morsi that kilichotokea ni military coup?
 
Nilidhani chief justice ndiye anakuwa kiongozi wa serikali ya mpito?

Sidhani kama ni vyema kumteua Mohamed El Baradei kuwa kiongozi wa serikali ya mpito ikizingatiwa alikuwa opponent wa aliyepinduliwa.

Sasa Chief Justice ni kwa Tanzania na kakatiba ketu.

Hizo ndizo siasa za Misri mkuu si unaona?

El Baradei amefanya kazi sana UN na ni mtu ambae ndie alitarajiwa kushinda uchaguzi uliopita kwahio wananchi wameona kwa kuwa ana medali ya Nobel basi ashike madaraka ya uraisi na kuipanga upya nchi na kuitayarisha kwa ajili ya uchaguzi ndani ya wiki chache zijazo.

Kwa kifupi Mursi alitakiwa amheshimu El Baradei na kumsikiliza.
 
Al Jazeera's chief political analyst Marwan Bishara, commenting on the army's statement, said:

"This has clearly been thought out really well. It almost feels staged for international media. The picture is that the military is not acting alone but in coordination with various authorities, including religious groups, and even various generational groups. As sugar coated as this step might look, this does not change from the essence that this was not done by legal means. A president that was elected democratically, no matter what one thinks of him, has been removed by armed forces, and this is called a coup d'etat."

I'd say the military didn't remove Morsi from power. The people wanted him out ASAP because they've had enough with his one year rule and couldn't handle three more.

That's when the military entered the fray and facilitated his ouster from power.
 
Huu ulikuwa ni uamuzi uliochelewa; kile ambacho Wamisri wengi walikuwa wanakihofia kuhusiana na Muslim Brotherhood kimetimia; wamepewa nafasi ya kuongoza wameshindwa na badala yake wamefanya exactly what people had been warned about them before. Jeshi ni kama liliamua kuwasetup kwa sababu sasa MB haitokuwa na ile nguvu tena na wanarudi kule kule walikokuwa chini ya Mbarak; banned.

Ndio maana wengine tunasema uongozi ni hekima; Morsi alikosa hekima ya kuwa kiongozi na badala yake aliongozwa na itikadi ya utengano.

Jamaa badala ya kuwa rais wa Misri alianza kugeuka na kuanza kuwa rais wa Muslim Brotherhood. Kudos kwa wananchi wa Misri kwa kumshtukia mapema na kumkatalia kabisa.
 
Sasa Chief Justice ni kwa Tanzania na kakatiba ketu.

Hizo ndizo siasa za Misri mkuu si unaona?

El Baradei amefanya kazi sana UN na ni mtu ambae ndie alitarajiwa kushinda uchaguzi uliopita kwahio wananchi wameona kwa kuwa ana medali ya Nobel basi ashike madaraka ya uraisi na kuipanga upya nchi na kuitayarisha kwa ajili ya uchaguzi ndani ya wiki chache zijazo.

Kwa kifupi Mursi alitakiwa amheshimu El Baradei na kumsikiliza.

This is not a joke. The "President's Office" has released the following statement in addition to the video [Arabic] of Mohamed Morsi reacting to the army's statement effectively overthrowing him.

"Dr. Mohamed Morsi, President of Egypt, emphasizes that the measures declared by the Chief Command of Armed Forces represent a military coup d'état, which we categorically reject, in whole or part by all the honest honorable men who struggled for the transformation to democracy. The president stresses, in his capacity as the president of the republic and chief commander of armed forces, that all the citizens, civilians and militarians, leaders and soldiers, are required to adhere to the Constitution and law; not to respond to this coup which will throw Egypt back to the dark ages; and to maintain peaceful behaviors and avoid bloodshed."


[video=youtube_share;73N9mKF2Ba4]http://youtu.be/73N9mKF2Ba4[/video]
 
Usilete mfano wa Tanzania na Misri, labda nikuulize wewe Anuar Saadat alikuwa na makosa gani? Gamal Abdel Nasser alikuwa na makosa gani? Hosn Mubaraka alikuwa na makosa gani? Morsi alikuwa na makosa gan?
hahaha kwa sababu walikuwa ni wakatoliki n' they were taking orders frm vatican.pls foward hilo gbu to ur fellow team gerezani n' lumumba.
 
Back
Top Bottom