Duh kama mzaha vile
Hawa waarabu wapuuzi sana wameacha kujitawala kwa sheria za kiislamu pamoja na uwepo wa waislamu asilimia 95 wanaendelea kujifanya waijua demokrasia wakati ndani ya demokrasia hamna haki hata kidogo.
Aliye kuwa Rais wa Misri Morsi, ameondolewa madarakani na Jeshi la Nchi iyo, kwa sasa serekali itakuwa chini ya usimamizi wa Jeshi na habari nyingine itafatia.